Jana waziri wa tamisemi alitangaza majina ya waliopata ajira lakini ajabu ukiangalia kwenye list utaona mtu kasoma MATHEMATICS ila kaandikiwa bachelor of arts
Huku akisema taasisi zaidi ya kumi zimehusika kwenye huo mchakato ikiwemo takukuru
Habari wana jf,
Naomba msaada wa dawa ya kutibu vidonda vimejitokeza kwenye ulimi kwa sasa vina wiki 3 nimetumia dawa ya amplicox nikapata nafuu ila vikarudi tena, vinauma sana ukinywa chai au kitu cha moto hasa asubuhi.
Habari wana jf,
Waziri wa mawasiliano na TEHAMA alitoa ahadi tarehe28/02/2021 atakuja 'na majibu ya bei zake mwenye updates za waziri atupe maana tunazidi kuisoma namba.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo amewataka vijana walioshiriki katika ujenzi wa ukuta wa Mererani na hadi sasa bado hawajajiriwa kuripoti katika kambi ya Jeshi JKT Mngulani September 12 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam...
Source
AJIRALEO TANZANIA
Jobs in Tanzania 2019: 99 New Government
Jobs at Tanzania Electric Supply Company
Limited (TANESCO) | Deadline: 24th May,
2019
NAFASI ZA KAZI TANESCO 2019 | AJIRA
MPYA TANESCO 2019
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES –
TEMPORARY EMPLOYMENT
INTERNAL & EXTERNAL ADVERTISEMENT...
Tafadhali rejeeni tangazo letu lenye Kumb. Na CD. 162/355/01 la tarehe 30Oktoba, 2017 lililowataarifu waombaji wa kazi wa nafasi mbalimbali za kada za afya walioomba kazi kuanzia 25/07 - 30/08/2017.
Rejea hapa; TAMISEMI kushirikiana na Wizara ya Afya: Tangazo la kuitwa kazini kwa walioomba...
Mimi nashida ya kupata mtaalam wa dawa atakayeweza kukusaidia kupata begi langu lilikua na vitu vyangu Vya msingi ambalo aliliazima Rafiki yangu akidai atalirudisha baada ya dk kumi Tu lakin mpaka sasa hajarudisha beg langu yapata miezi mitatu sasa na huu wa tisa Ni wa nne.
Naombeni msaada wenu...
Akifanya mahojiano kwa njia ya simu na mtangazaji wa EATV, Mh. Nkamia amesema kuwa yeye ameamua kupeleka muswada huo binafsi kwa spika wa bunge kutokana na serikali kutumia gharama kubwa za kufanya uchaguzi kwa wakati mmoja yaani ule wa serikali za mitaa pamoja na ule mkuu.
"Napeleka hoja au...
Habari wana JF,
Nipo hapa naangalia clouds 360 on Saturday Kibamba katolea mfano Mh Lowassa kuwa wakati wa kipindi chake aliingia mkataba wa kitapeli na kampuni ya Victoria ili kusambaza maji Dar es salaam na maji hayakutoka hivyo kufungua kesi kimataifa ambapo serikali ilituma wanasheria na...
Habarini wanaJf
Ni simu hizi za Vodafone sikU nne zilizopita iliflashiwa baada ya kuflashiwa ukiiwasha Tu inadosplay ujaze google account na haiendelei zaidi ya hapo na ukihaza google account yoyote iliyo sahihi bado haifunguki naombeni msaada juu ya Hilo ile me nafikiria kuifanyia restoration...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.