Wadau,
Nilifanya muamala wa kuhamisha pesa kwa njia ya simu, bahati mbaya pesa sikuipata. Nilianza kufuatilia kwa kupiga simu NBC baada ya siku moja. Majibu ni kuwa pesa yako itarudi ndani ya saa 24. Leo ni siku ya tisa pesa haijarudi.
Nimefuatilia kwa kupiga simu kwa huduma kwa wateja na...
Jamani tuache kudanganyana. Hakuna haja ya kuwa na Tume wakati serikali inadai mikusanyiko/maandamano si halali lazima yazuiwe. Sasa kama walienda kuyazuia kwanini wanaunda tume na kupoteza rasilimali chache za Taifa.
Kazi hutangazwa na kuwekwa wazi aina na sifa za mwombaji. Kama anahitajika kamishina wa polisi sifa zake za kielimu na uzoefu zitawekwa. Hivyo mshahara hutegemeana na nafasi na aina ya kazi uliyoomba na kuajiriwa na siyo degree.
Tumechoka kusikia tutawataja majina. Kwa sasa naona vitisho umekuwa mtaji mzuri wa kisiasa kupata wafuasi na mashabiki wengi. Ni vizuri kufuata nyayo kwa wengine ambao hutaja kwa uwazi bila kubabaika.
Commonmwananchi. kwa navyotambua Hifadhi ya Serengeti ina miradi mitatu ya Faru ambayo ni Mradi wa Moru, Mradi wa Ndasiata maarufu kama Faru wa JK na mradi wa Nyamarubwa. Faru waliyouwawa mwaka huu ni wa Moru ambako haukuwepo wakati wa kuwapokea kama ulivyojieleza. Faru wa JK wamebakia watatu...
Waziri kaamua kuunda tume ya kubainisha ukweli juu ya suala hili. tuombe tume iwe makini na taarifa ije ikatolewa. Tume nyingi zimekuwa zikiundwa nchi hii lakini hakuna taarifa inayowekwa wazi. Ujangili upo na utaendelea kuwepo kwa kuwa kuna soko la vipusa. Muhimu ni kweli maofisa na watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.