Naandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya kugundua kwamba miezi miwili sasa imepita bila kuwa na mwendekezo mzuri wa kuonyesha mechi za ligi kuu ya nbc,ndani ya mwezi unaangalia game mbili au tatu halafu unatakiwa kulipia tena.
Kwa mfano weekend hii iliyoisha kulikua na shida gani mpaka...
Haya mambo wananchi wenyewe ndio wanayashabikia,watu wanaona sawa tu askari akifanya hivyo sababu hata ukisikia mtu anavyosimulia unajua kabisa anaenjoy
jibu ni kwamba mbwa huwa anakosa maamuzi sahihi inapotokea amepigwa na mwanga mkali wakati wa usiku,ikumbukwe uoni wa wanyama ni tofauti kabisa na ule wa binadamu na kila mnyama anaona kutegemea na macho yake yamekua programmed kuona vipi.
mbwa akipigwa na mwanga anapata uoga…hata kama siyo...
Huyo jiwe huko mbarali mbeya aliwahi amuru mtu afukuzwe
Aliwahi ambia mtu asiyetaka kulipia 200 ya choo atembee na haja yake siku nzima akaitolee nyumbani bure
Aliwahi ambia watu wapige mbizi kigamboni posta kama hawana hela ya nauli
Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app
Ninazo soundbar za vizio 5.1
Ziko vizuri sana na full tested
Zina bass booster, soundbar na spika mbili ndogo kuongeza sauti
Bei ni 450,000/= maongezi kidogo yapo.
0765981354
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my BLA-L09 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.