Mi nakushangaa
Wewe kula jicho sio vibaya...ila vibaya kuoa ke anayeliwa jicho.
Nawashangaaga Sana wanaume walivyo wanafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenbro
Wana umbo kubwa, wanakua haraka hufikia Hadi kilo 4 kwa jogoo ndani ya miezi 6 Kama atalishwa vizuri, hutaga mayai 20_25 kwa mtago mmoja. Ana nyama nyingi na tamu.
Mshukuru Mungu sana kakupa nafasi ya kujua siku yako ya kuondoka.
Pata muda wa kutengeneza roho yako ili ukapumzike huko maana pia umeteseka hapa duniani.
Pata nafasi ya kutubu dhambi zako, kusamehe majirani na ndugu ambao uliona wamekuroga kumbe ni kansa ilikuwa ikikukula, pata muda pia wa...
Kimaadili sioni tatizo.
Hii tongue kiss ilianzia kwa mama na mtoto wakubwa tukaiga.
Lakini ni tendo la kuonyesha upendo. Sio upendo wa ngono mnaofikiria nyie tu....wengine kwenu hata busu la shavuni mnaona ni kosa.
Mimi ni mama huwa nambusu mwanangu, lips mpaka ulimi nikizingatia afya yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.