Hivi nyinyi mnaotoa lugha ya matusi katika kijiji hiki cha wanajamii ,mnazani wote wanaoishi humu wapo hivyo kama cha kuandika huwa mnakosa BASI MUWE MNASOMA TU YA WEZENU au MUHAMIE KWENYE VIJIJI VYENYE WAZAWA WENYE TABIA HIYO.tuwe na staha ,hekima na busara kwani katika jamii inayoishi humu...
Wandugu tupendane tuwe na huruma ,majibu mazuri tupeane,kwani hakuna mkamilifu wala mwenye akili zote zaidi ya mungu.hamuoni viongozi wetu wasomi tunaowategemea wakati mwingine wanakosea tena mjengoni!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.