wanna jf habari za usiku huu
simu yangu ni techno p5 na ina tatizo tajwa hapo juu haionyeshi wala kuplay video kwa picha au video nazotumiwa kupitia whatsup ,blue tooth etc
naomba msaada kwa wataalam wa mambo haya
ahsanteni
Pia wanawake ni wengi sana kuliko wanaume kwa sababu wanaume ndo wanaoongoza kwa vifo kwa sababu ya kufanya kazi ktk mazingira ya hatari km migodini, uvuvi, vitani, uwindaji nk lkn wanawake walio walio wengi wanafanya kazi ambazo ni soft na stress free!
Ukiona hivyo ujue wana hali ngumu na wanatafuta huruma kwa wananchi kwa kudhani kuwa mgombea wa ukawa hawezi kuongea, magufuli ndo hana kabisa cha kuongea na kushawishi amebakiza kututishia kwa mifano ya libya, misri na kwingineko eti tusifanye mabadiliko ya kukitoa ccm, wajaribu waone moto wake!
Da ndg pole sana una tatizo km langu, mi niko chuoni yaani cku za presentation kwangu huwa ni balaa, nimeshajaribu kuomba ushauri humu jf lkn pamoja na shauri mbalimbali nzuri lkn tatzo bado linanitafuna.
Wkt mwngne hata lecturer akiwa anafndsha ile anapouliza swali akikuangalia tu hofu na...
Nasikia Rage alichemka na kuzowewa vibaya hasa aliposema tanganyika haikudumu muda mrefu maana baada ya wajerumani kuondoka walikuja wakoloni.
Watu wakamhoji kwani mjerumani hakuwa mkoloni? Noma sana haya maccm!
Pia inasemwa kuwa kuna lecturers wawili walimchana rage na makamba bila kuangalia...
Hbr za leo wakuu,
Baada ya watetezi wa katiba ya wananchi (UKAWA) kujitoa jana baada ya kuchoshwa na mwenendo mzima wa matusi yanayoendelea bungeni yakitolewa na wanaotaka itengenezwe katiba ya CCM kwa mgongo wa katiba ya wananchi.
Napenda kujua kama baadhi ya wabunge wanaojitambua wa CCM...
Hivi kwanini watetezi wa ccm wengi wao ni tabula lasa, hakuna mwenye uwezo wa kujenga hoja walioko bungeni majanga wa nje ya bunge nao vitasa, inasikitisha sana!
Mi nafkri maccm yanafikiri kuwa cdm wanapendwa sababu ya combat ndo maana yameamua kuiga, kaka green hata ushonee mifuko mpk mgongoni watu hatuitaki, pia nafkr wana mpango wa kubadili rangi ya bendera maana kwenye sherehe zao kule mbeya walikuwa na tshirt nyeusi.
kamanda kupiga kijani siku hizi...
Lizaboni,msalani, chabruma na wengine mnaoshabikia upuuzi unaofanywa na lichama lenu mfike hatua muache kushabikia mambo ya kipumbavu, inawezekana leo mna faidika sana na mauaji ya ndg zetu wasonahatia lkn mjue ipo cku mtawajibika, ccm inafanya siasa za kipumbavu sana cku hzi cfurahishwi hata...
Nimefuatilia na kuwajua wateule wa rais ktk kuziba nafasi za mawaziri aliowaachisha kazi, pamoja na kuwa na sura mpya kadha wa kadha, lakini nimejiuliza sana hivi kweli raisi anajua km kuna wabunge wa ccm km deo filikunjombe, alphaxard kangi lugora, abdalah mtutura, esther bulaya, luhaga joelson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.