Habari za kazi?
Poleni na majukumu samahani kwa anaefahamu taratibu na vigezo vya kupata msaada wa tasaf atusaidie,lengo ni kujua vigezo gani vinatumika na ni kiasi gani walengwa wanapatiwa na shirika la tasaf.ni matumaini nitasaidika ahsanteni.
Ndugu habari za majukukmu samahani naomba msaada kwa anaejua links za videos converters ambazo zinafanya subtittles editing na zinaconvert videos in high quality plz tusaidiane plz
Wadau wa jamiiForums samahani kama kuna mwenye keys activator for idm tusaidiane maana nilikua natumia trial version sasa imeisha muda wake wanataka keys to register, so please kama kuna mwenye ujuzi atusaidie.
(i mean free keys).
ndugu zangu wakulima wenzangu habari za asubuhi?natumai mnaendelea vyema,nilikua naomba kujuzwa jinsi ya kusindika mahindi yaweze kukaa kwa muda mrefu bila kuharibika au kuliwa na wadudu,natanguliza shukrani zangu za dhati.
Jamani wadau habari za kazi? Poleni na majukumu samahani naomba kuuliza ama kujuzwa kuhusu hiki chuo cha eckenford tanga university inst of health science,je kinatambuliwa na nacte? Yaani namaanisha je kimesajiliwa?
poleni na majukumu wanajamii,samahani ninaomba kama kuna maujanja jinsi yakuondoa namba ya siri kwenye simu aina ya huawei y330 nikiweka line one inaniambia inter pin,msaada naomba wadau.
polen na majukumu kuna wachangiaji wa jukwaa hili walituletea habari kwamba jkt kwa kidato cha sita imefutwa kisheria sasa leo tunasikia habari tena kwamba madogo wanatakiwa kuripot maeneo waliyopangiwa fasta na miongoni mwao ni dogo langu amemaliza Minaki na amepangiwa Moro plz hebu tujuzane hapa
za asubuhi wadau polen na majukumu hebu ninaomba msaada kwa niaba ya wengine pia jinsi gani unaweza kuzuia adds zisitokee wakati unaperuzi mtandaon na hata ukishadownload baadh ya apps zinakuja na adds,hebu tusaidiane kidogo hapa.
wadau polen na majukumu,samahani naomba kwa mwenye kufahamu rooting mode ya MAXON X3,plz tusaidiane.yani simu ina apps ambazo ni unnecessary zinamaliza internal memory
Poleni wanajamvi, msaada kidogo kuna simu inaitwa maxon it is something new in the market, zipo models kama mbili hivi, ya kwanza ina RAM 2GB 32GB HDD na ya pili ina 1GB RAM 16GB HDD,plz kwa yeyote mwenye uzoefu na masuala ya simu atupie hapo jamani ili sisi tusiojua kitu tufunguke. Darasa huru...
habari za majukumu wanajamvi,natumai mnaendelea vizuri,naomba tujadili suala zima kuhusiana na vitambulisho vyakupiga kura,kama tunavyofahamu uchaguzi umekaribia na watu wengi hawana vitambulisho vya kura,hii inatokana na mambo mawili aidha kuna wale waliofikia umri stahiki wakupiga kura yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.