Halafu njia nyingine jamaa anakupigia. Halafu anakuwa very smart, hana haraka. Anakupigia anakwambia yeye ni wakala wako mkuu. Kuna pesa wamekutumia hebu angalia salio. Kwanza anakwambia umtajie namba yako nyingine akupigie huko ili simu yenye line ya wakala iwe free. Ukishamtajia namba Zako...
Hii pia imemtokea Dada yangu last week. Sema ni hela mbuzi. Siku ya kwanza wamechukua thirty, na ndo ulikuwa hiyo hiyo kwa tigopesa yake. Kesho yake wakampiga tena 15 baada ya kuweka hiyo hiyo 15. Halafu text ya tigopesa ikaingia umetuma pesa kwenda namba XXX. Kuwapigia tigo wakajibu eti hii...
Deity is god , not God. Mungu tunaemwabudu haitwi "mungu" anaitwa "Mungu".....hata ukiangalia kwny kamusi yoyote hukuti wametafsiri neno Deity kama Mungu, ni mungu. Labda hiyo kamusi iwe ni ya anti-christ
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.