04/03/2017 kagera vs majimaji ndo alipata kadi ya tatu ya njano usipotoshe watu. hivyo alipaswa kumisi game ya simba acheni kujitoa ufahamu, mbona nyi mlidai kwa azam na mkapewa mbona hamjusem in za mezani acheni double standard
Nimependa kwamba unakuwa jasiri kusimamia hoja hata kama si kweli naamini umejifunza mengi kupitia Uzi huu big-up mtani wangu tukosoane ili tujenge soka letu ila point ni za MSIMBAZI tu.
kama timu ilofungwa imesonga mbele hivi imepewa nini ? mbona mnajitoa ufahamu Congo, Madrid wameshinda lakini wamenyang'anywa ushindi siyo pointi za mezani hizo hivi mnataka mueleweshweje,? otherwise mchezaji hana kadi tatu hapo sawa.
Mbona Yanga hamkuandamana kama mnavyoandama kwa Simba? mi huwa nawadharau watz kitu kama kinafaidisha anapiga kimya hata kama si halali ila kama hakimfaidishi makelele kibao. teh he he he!!! hi ndo nchi ya Wabongo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.