Search results

  1. WA PATI

    Waziri Ndalichako unayajua haya ya Korogwe?

    Umeshajua kero saidia kutatua kama kweli we ni kiongozi achana na mwandiko wa mwanachuo...otherwise nawe ni Chenga tu
  2. WA PATI

    Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa wilaya ya Chato mkoani Geita

    Is possible, kuna Itigi, Hydom(Mbulu) etc
  3. WA PATI

    SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

    Hawo kina kichuya , Walusimbi , nawengineo wako timu za Taifa hivyo hawatakuwepo.
  4. WA PATI

    Bora aliyesema NAKAA KIMYA

    Huwezi kaa kimya wakati hakuna haki, wengine wanatumbuliwa kwa kilekile wengine wanaachwa.
  5. WA PATI

    Haji Manara hakumtukana tuu Malinzi, Ameitukana FIFA. Ashikishwe adabu

    mahesabu ya kadi tatu yanahusisha na hiyo mechi mbona mnarudi nyuma...
  6. WA PATI

    Kombe la Azam Federation Yanga Vs Tanzania Prison

    Na tumeomba tuwe kumi uwanjani, nyi mmesahau mlivyochukua za azam eee
  7. WA PATI

    Kombe la Azam Federation Yanga Vs Tanzania Prison

    ndala wanatakata ngoja tuwasubiri semi final
  8. WA PATI

    Haji Manara hakumtukana tuu Malinzi, Ameitukana FIFA. Ashikishwe adabu

    04/03/2017 kagera vs majimaji ndo alipata kadi ya tatu ya njano usipotoshe watu. hivyo alipaswa kumisi game ya simba acheni kujitoa ufahamu, mbona nyi mlidai kwa azam na mkapewa mbona hamjusem in za mezani acheni double standard
  9. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Nimependa kwamba unakuwa jasiri kusimamia hoja hata kama si kweli naamini umejifunza mengi kupitia Uzi huu big-up mtani wangu tukosoane ili tujenge soka letu ila point ni za MSIMBAZI tu.
  10. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    kama timu ilofungwa imesonga mbele hivi imepewa nini ? mbona mnajitoa ufahamu Congo, Madrid wameshinda lakini wamenyang'anywa ushindi siyo pointi za mezani hizo hivi mnataka mueleweshweje,? otherwise mchezaji hana kadi tatu hapo sawa.
  11. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Mbona Yanga hamkuandamana kama mnavyoandama kwa Simba? mi huwa nawadharau watz kitu kama kinafaidisha anapiga kimya hata kama si halali ila kama hakimfaidishi makelele kibao. teh he he he!!! hi ndo nchi ya Wabongo.
  12. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Mi naona wote tunaobishana na MLAU tutaonekana hatujui jamaa anaumia kisa ni simba mbona yanga walipewa hakulalama? anaelewa ila anajifanya mjuaji....
  13. WA PATI

    Real Madrid katika Robo Fainali dhidi ya Bayern Munich ilijawa na upendeleo kwa madrid

    mbona hamkulalamika Bayern alipopewa penalt kwao na hakuna aloshika, BAHATI mbaya kwao byn wakakosa...
  14. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Opponent Alisonga mbele wakati Madrid alishashinda
  15. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    kwa hiyo kagera washushwe daraja au unatakaje mwaka Jana Azam alinyanganywa point mkapewa mlichekelea sana kwa simba mnanuna ndo maana Tz hatuendelei
  16. WA PATI

    Sheria za TFF zisingegusa matokea ya mchezo uliokatiwa rufaa

    Real Madrid mwaka jana/juzi alitolewa kwenye cops delay na alikuwa kashinda kwa kuchezesha mchezaji mwenye kadi
Back
Top Bottom