Nakubaliana na wewe asilimia100. Watu wengi wana mawazo lakini implementation inakua ngumu. By the way mi sikupingi kabisa na ni kweli kwamba lazima ianze"fikra". Lakini mtaji huwezi kuutupilia mbali
Sent from my HUAWEI G730-U00 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.