Ni wakati wa Konde boy kula kwa jasho lake,
Kila jema limtangulie In Shaa Allah/
Anatakiwa kupigana sana hakuna mtelezo tena,
Kutofanya vizuri kwa project yake na Chilla aichukue kama tahadhal ya kilichopo mbele yake.
Mtoa Mada acha fix,
Huyo Maza anapigania jimbo la Kasulu mjini, kaanza kampeni zake mwaka wa Pili sasa,
kwa iyo kama ni vita atapambana na ccm mwenzake Sanzugwako,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.