ahhh huyo ngasa hana maana kaogopa kukiputa kigali eti mpunga
mchudo washazoea ligi ya malumbano isiyo na macho kila msimu
matatizo ligi haisongi nazanangeenda rwanda angepata uzoefu na labda milango
ingefunguka kashazoea kuchukua ujiko usiokua na macho kwenye magazeti
haya tusubiri kwake yeye...
comrades
mmeona news ya leo usiku channel 10?
kuna mtanzania mwenzangu alingolewa jino na unprofessional mwenzetu
ambaye ni m tz miezi mingi iliyopita, kilichotokea ndugu amevumilia pain
kwa kipindi kirefu sasa hivi anatoka PUS sehemu ya juu karibu na jicho
okay my request to my bro & sis...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.