Biden asema amewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu mashambulizi ya Houthi
Taarifa kutoka Washington hivi punde zinasema Rais Joe Biden anasema Marekani imewasilisha ujumbe wa faragha kwa Iran kuhusu Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran waliohusika katika kuzishambulia meli za kibiashara...
Vyombo vyote vikubwa vya habari vinaonyesha live kesi inayoendelea genocide case iliyofunguliwa na serikali ya Afrika kusini dhidi ya Israeli lakini BBC ni kama hawajui kinachoendelea kwa sasa.
JINSI MAKOMANDO WA ISRAEL WALIVYOWAOKOA MATEKA 102 WALIOFICHWA UGANDA KWA DAKIKA 58
Serikali ya Israel imeapa kulipa kisasi kwa shambulio la kushtukiza la kundi la wanamgambo wa Hamas ambalo ni baya zaidi katika historia ya miongo ya hivi karibuni.
Tayari mashambulizi dhidi ya ukanda wa Gaza...
Siku ya jumamosi tarehe4 jeshi la Marekani lilifanikiwa kuitungua baloon ya upelelezi, surveillance baloon/ spy baloon, kama ilivyoelekezwa na Rais Biden.
Baloon hiyo inayosemekana ni ya jamuhuri ya watu wa China, japo serikali ya China inadai lengo la hiyo baloon ilikuwa kwa ajili ya masuala...
Naomba kujuzwa kuhusu izi gharama za uagizaji befoward ndio izo zinazoonekana kwenye bidhaa pekee au itaghalimu pesa nyingine adi ndinga inaingia mkononi nisije kuagiza kichwakichwa ikaozea bandarini.
Kitendo cha viongozi waliokaa jukwaa kuu kujikinga jua kwa kutumia magazeti na vitabu hasa eneo walilokaa Mzee Jakaya Kikwete, Karume na Waziri Mkuu Majaliwa si kitendo cha heshima na kiungwana kabisa.
Wazee wanapigwa jua hadi unawaonea huruma.
Mbwana samatta na timu yake ya Royal Antwerp wapo uwanjani muda huu wakipepetana na RFS seraing kunako jupiler pro league.
Unaweza kucheki live through hesgoal.com
Wahaya wanapenda sana sifa kwakweli ata kama Hana kitu bado atajikweza tu,
Ukimkuta kondakta wa daladala anapiga debe utaskia
"kimara mbezi kimara mbezi na hii gari ni yangu"
Maisja ya shule bwana we acha tu!
Nilipokuwa shule ya Msingi enzi hizoo kuanzia Darasa la Nne hadi la Saba maksi zangu za somo la Hisabati (Hesabu) zilikuwa zinacheza kwenye 03% - 08% na kwa bahati mbaya matokeo yalikuwa yanatangazwa mbele ya Darasa.
Yanapotangazwa mwalimu anaanza kuwaita...
Hebu tuongee ukweli tu; umetoka kwenye mkesha flani wa aina yoyote ile, asubuhi ukaamua kulala chumbani kwako ili kupunguza uchovu na usingizi.
Ukaandaa maji ya kuoga kwenye beseni pindi utakapoamka uoge na kuendelea na mambo mengine ya ujenzi wa taifa; wakati umelala usingizi mnono...
Suala la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kupitia UCC kutangaza kazi na kuweka vigezo referees lazima awe Mfanyakazi wa UDSM au UCC yenyewe ni moja ya rushwa makazini kwakua ili upate iyo kazi lazima ndugu yako awe Mfanyakazi wa UDSM
Kwa watoto wa Wakulima ambao hawana ndugu madokta au maprofesa...
apa ndipo nilipowaelewa chadema kwanini wanalitumia ili vazi. heshima kwako muheshimiwa mbowe, heshima kwa baba wa taifa watanzania tutakukumbuka milele upumzike kwa amani mzee wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.