Mkuu hakuna icon ya gear (settings), na nimejaribu kutafuta kila kona Icon yenye herufi A lkn sijaona kitu..Tatizo nalo ni kua remote ya tv button zake nazo zimeandikwa kichina, so sina hakika MENU ni button gani...nabahatisha tu!! Kwani haiwezekani kuformat hii Yun OS then niweke nyingine ya...
Mkuu najua ni kichina coz nimeinunua china. Shida ni kwamba menu zote ni kichina na sijui niende wapi nikabadilishe language. Tv make and model ni Haier LS58A51. Na operating system ni Ali Yun (OS)...Link ya specification hii hapa Haier / Haier LS58A51 58 inch 4K ultra-high-definition...
Dah, kweli akina Bashite wako wengi...yaani uongo wa kitoto unakuja kutuongopea hapa. Kwanza kabisa Huyo Katibu mkuu wa UN hajavaa pajamas za Swiss Air kama unavyodai, kavaa sweta lake toka nyumbani...ukitaka kuhakikisha google " swiss air first class pajamas" utaziona ziko nyingi tu na...
Hello there, naomba kujua jinsi ya kuformat na kuweka Android OS nyingine kwenye smart TV. Yangu imekuja na lugha ya kichina na hakuna option ya kubadili lugha. Kwahiyo I need to format the Android OS and reinstall an English version....Msaada kwenye tuta pleaseeee...
Hello there, naomba msaada. Kuna Tv nimenunua China (Haier) na Android OS yake imekuja ukiwa na lugha ya kichina. Na kwa bahati mbaya hakuna option ya kubadili lugha. Sasa nataka ni-format hii Android OS then niweke nyingine. Je, kuna mtu anaweza kunisaidia maelekezo jinsi ya kufanya ili niweke...
Hello wana jamii,
Natafuta nyumba maeneo ya sinza, mwenge, survey au kijitonyama...iwe na vyumba viwili au vitatu, sebule, jiko ofcourse na bathrooms. budget ni around 300,000Tsh
Mawasilino: 0712-300200
Hello WanaJamii,
Natafuta taa za mobile studio kwa ajili ya kupigia picha (studio photography lights), ziwe ni flash (not continous lights i.e for video) na miavuli meusi (balck and silver reflective umbrellas). Pia nahitaji projectors (especially Sony EX100) zenye lumens 2000 na zaidi...
Wadau nahitaji projector aina ya Epson kuanzia lumens 2500....kama una model nyingine nzuri (sio ya kixhina) naweza kuchukua...call me on 0712300200, plz usibeep..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.