Kazi ndogo sana, hao wanataka vipigo,muamulie siku moja umtwange hadi ashindwe kwenda baada ya hapo utaona heshima itakavyoonekana nyumbani. Siku zote hizo anatafuta kujua kama unaweza kumtwangaaaa. Sasa kaka huyo Punda miluzi mitupu na makelele haendi hakukulia mazingira hayo. Malizana nae...
MwanaHaki unakosea sana ndugu, kua positive acha zako, eng sio cheo hiyo ni shule kaka. Takwimu zinaonyesha M-TZ kipato chake ni dola moja ya USA sasa hayo masola makubwa ni ya nini?utamuuzia nani? Kutokujua kwako biashara isiwe sababu ya kumfanya Eng. Asifanye mamboozz. Mwache atengeneze ndogo...
Mbona mmesahau Alibaba.com? Hawa jamaa ni waaminifu na unapata bidhaa yako bila tatizo wana huduma ya Aliexpress ambayo ndio ina control issue za malipo. Wachek hawa utalipa kila kitu bongo na watakutumia mzigo wako kwa DHL au Fedex
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Labda naomba mnijuze,Vatican ni nchi au ka-province kule itali?
Kama ni nchi sioni kwanini tuhoji uwepo wake hapa Tanzania ila kama ni ka-province kule Itali hakuna sababu za kuilinganisha na nchi yeyeto ya kiarabu.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mabadiliko tuyakubali ndugu zangu, tusianze vikwazo hata safari moja haijaanza,wengine wanavutia wateja,mara watashindwa mnapata wapi uwoga?kwanini historia ndio yamekua maisha yenu?Wajaribu kwani kushindwa dhambi?Wakijipanga wataweza na kila raia aliekua akiota ayapandaje ndege atapata fursa ya...
Nafikiri huu ni mwanzo tu wa mambo yajayo.Nawaomba watanzania wenzangu tutulie tuone nini kitatokea?Tusibeze kila kitu.Najua huu hautakua mdahalo wa kwanza utakao fuata ndio tutakuwa kwa position kumueleza ni mdahalo gani afanye/afanyeje.Ila suala la e-mail hata mimi nalipinga.Hata ki maila...
Suala la Taliban kukata watu vidole mimi ningependa lisihusishwe kabisa na suala la dini ya kiislamu.Maana haitaleta dhana nzima ya kuwa na huu uwanja wa kujimwaga.Taliban ni kundi kama makundi mengine yasiyopenda amani na si uislam.Waislam ndio wapenda amani wakubwa.Vikindi vichache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.