Kwa trend ilivo kuna Possibility hata Vitukuu vyetu vikatushangaa sana, Yani Mama anaacha Kwenda Shamba au Sokoni kufanya Biashara Azalishe anaenda kushinda kwa Mwamposa
CDF ni Nyeti sana mzee, hayupo kwenye Succession Plan ila Ni top sana na ana Clearance kubwa kuliko hao uliowataja, V.P na Waziri wa Ulinzi ni maboss kwa CDF kwa macho ya Juu tu ila kati ya CDF, VP na Waziri, Top inner circle ya Rais apo Ni Mkuu wa Majeshi
Uchambuzi mzuri sana Mimi naziona possibilities zote tatu kuwa Vichwani mwa hao matop walikuwa wanamzunguka Rais kwenye Wakati wake wa mwisho, Inashangaza Sana Serikali ya Kiraia ambapo VP ni second in command anaachwa Kuwa informed mapema mpaka mzee anakufa akiwa Mikononi mwa makamanda, VP...
Kwenye crisis kama ile Sioni haja ya Kuingiza Raia hao aise tena politicians bora tu Vyombo vya Usalama Vile handle iyo issue na Kufanikiwa kumsuceed VP kuwa Rais, Wangeachiwa wanasiasa nchini ingetumbukia kwenye Vita
Sio kirahisi ivo mzee nani akupe tenda kwenye site kubwa bila Kujua Experience yako au reputation yako kwenye industry izo construction works zote zina taka muda mrefu kugain trust kwa clients it's not a one night stand mzee, Na tayari watu wapo Sokoni and they are much more experienced na...
Unajua watawala wanataka Means za Mawasiliano ambazo zitakuwa Rahisi kufanya Censorship and Monitoring hata matumizi ya izo technology zenye end to end kama WhatsApp, au RCS za Google kwao hawataki mana sio traceable, Leo unampa permit starlink ikitokea Maandamano unazimaje hio net? Satellite...
Ujinga ni Mzigo, Akili za Mwendazake izo Kupeleka mpaka Jeshi letu kwenda Kubangua Korosho matokeo yake wote tuliyaona,
Changamoto za Umeme hazipo tanzania tu tuelewe ilo South africa ambae ana total capacity ya 48000MW ana Blackout na Load shedding ambazo zilipelekea mpaka Rais Kuataka...
Most reputable brand kuanzia nguo na izo za designing nyingi zimekuwa crafted na gays wapo Kila sehemu, inshu ya Tim Cook kuwa ivo sidhani kama ina athari kwako end user
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.