naomba kujuwa 1. being kwa kg
2.Samaki mmoja ana size gani
3.wanapatikana wapi
4.una kiasi gani kwa ujumla
5.fresh kutoka bwawani au unaweza kuhifathi kwenye barafu.
Napenda mwanamke akisuka rasta kuliko manywele artificial,kweli yanakata mizuka sana.Nadhani wanawake wa kiafrica wengi hawajajua jinsi gani wazungu wanapenda nywele za kwetu,mkiwa na nywele asilia zinawaongezea uzuri zaidi ya ma plastics.
hakunaga mazoea ya ukaribu kati ya mwanamke na mwanaume kama siyo ndugu ipo siku mtatongozana tu na hilo ndiyo mazoea ambayo jamaa hayataki.jaribu kuwa mbali na mke wa mtu maana ni sumu ipo siku jamaa atakubadilikia ujute kujuwana na mkewe.
Maelezo yanaonyesha mhalifu jinsi gani anajificha kwenye mwamvuli wa mwandishi,ajitokeze amalizane na dola na awachane na chuki binafsi.mwandishi ajifunze kuandika vizuri investigation report.
Safi, nina imani kama una hofu ya mungu Kila jambo lina mpango wa mungu.Kila mtu anakimbiza matukio ili historia ikamilike sasa unajuwa nje ndani Kuhusu pombe.God bless you.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.