Hili zoezi linaendelea hivi sasa , nilikata treni ya kwenda mbeya tar 2 mwezi huu chakushangaza siku ya kusafiri nilivyofika wakaniambia safari hakuna mpaka zitakapotangazwa hivyo tunarudisha nauli zenu, nikarudishiwa nauli.... Narudi nyumbani naambiwa treni imetoka asubuhi kwenda mlimba, sasa...
Hawa watu wanakera ukienda unaambiwa treni ya mwakyembe inafuata watu waliokwama ng'ambo haibebi abiria ukikaa siku mbili unasikia leo imebeba abiria imeenda mlimba,
Hovyo kabisa
Wafanyakazi wa Tazara wanajiona ni miungu watu, wana nyodo sana.... Shirika limewashinda kuendesha
Tunafahamu kuna uharibifu wa miundombinu ya reli iliyotokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha iliyopelekea safari za Zambia - Dar es salaam kusimama kwa muda lakini kipande cha dar hadi...
Utopolo mbona hawana kiwanja Chao wenyewe ambacho Wana maamuzi (absolutely power) lakini majini wanayarusha na kuyatumia kama kawaida na yanafanya KAZI mpaka nje ya nchi na mabara?
Naweza kuwa nimeanza kabla yako mkuu...maana mimi nilianza 2015......nikapiga 2016,2017,2018,2019 nikapumzika 2020,2021,nikarudi tena 2022 na 2023 kidogo sio kwa moto ule,kikubwa mimi ni mdau wa online match na sio hizi offline coz nawapiga hadi goli 16 so hazina mzuka kwangu na sijihisi kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.