Kwa mara ya kwanza nilipokuwa nimefika Mbeya na kuwaona wanafunzi wamevalia malinda kibao kwenye kiuno nilishanga kumbe ni wanafunzi wa Sangu.Lakini sikuyafurahia mavazi hayo.Watoto wanaoneka kama wanaenda kwenye maonesho ya ngoma za asili.
Kwanza nimshukuru Mungu kwa kunipatia bahati ya kupata Mkopo toka HESLB.Ila naungana na ndugu zangu walokosa.Wagegawa 50% kwa wote wenye sifa za kupata mikopo.Isipokuwa Madaktari wangepata 70% ili tugawane wote na zingne tuchagie wenyewe.MTAZAMO TU.
Unauwezo wa kufanya mtihani na kusoma Chuo kwa pamoja.Ila unahitajika kujituma kwa bidii kumudu masomo yote.Kuna ndugu yangu alikua anasoma chuo huku anarist na alipata credit zote kwa ufauru mzuri.Kujitabua na kujiamini utafanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.