Poleni kwa majukumu wakuu wangu, ninahitaji msaada wa kuunganishwa na wasanii wa aina zote.
Lengo kuu ni kujaribu kuona kama tunaweza kufanya kazi pamoja. Mimi ni kijana ninayepambana na maisha, nina eneo langu la biashara linalohitaji promotion, hivyo nawahitaji tushikane mikono kujikwamua...
Una akili sana, mimi pia nilianza hivi, nikawa naunga unga hadi ikawa nyumba nzima, leo hii ukiiona mtu hawezi amini ilianza kama chumba kimoja na choo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.