Nimelipoa Gharama za kubeba nguzo kuja eneo langu toka December 2021 mpaka sasa napigiwa danadana, tatizo nini? Sijatoa cash ila nimelipa kwa akaunti ya benki
Napendekeza hii hoja maana kuna wachangiaji wanapoteza kabisa umakini wa jukwaa hili lilokuwa bora lenye magreat thinkers.
Ukiangalia wachangiaji wanao haribu ni wale waliojiunga 2019.
Uchangiaji usio jibu hoja au kuchangia hoja kwa hoja Bali vijembe na ushabiki wa kiaiasa .
Ni wazo tu naomba...
Tatizo si ajira Bali ni mfumo wa elimu hauwaandai wahitimu kujiajiri ,leo ukimuuliza mhitimu mtaji huu hapa hana cha kufanya,wengi wanaandaliwa kuwa mabosi na wafanyakazi tu.Na elimu inayotolewa haizingatii soko la ajira Na mahitaji halisi. Mfano unaandaa ma- IT 2000 wakati soko linahitaji 200...
Msimu wa usajili wa wanafunzi wa darasa la saba kuingia shule binafsi au za mashirika ya dini umeungia Na ndio msimu mzuri wa biashara ila sasa umefikia kiwango cha kuwaumiza wazazi.
Wazazi sasa wanauziwa fomu za kujiandikisha kufanya mitihani Na kuchangia si pungufu ya elfu kumi. Watoto...
Habarini wanajamvi,NMB mmekuwa mkitoa mikopo lakini kuna kitu huwa hakiwi Na maelezo,hivi processing fee Na insurance huwa ni asilimia ngapi maana hamtufafanulii Wateja mpaka kuhisi tunapigiwa humo.
Ni kweli,swala ni mfumo mzima uangaliwe upya,kama hiyo ni hospital ya nchi ambayo ni jicho la nchi ipo hivyo ,je huko mikoani?
Hapo mheshimiwa amepata hali halisi,Na bahati amewalipia majeruhi matibabu,wengine wasingetoka kwa kushindwa kulipa gharama
Hii kukuwa kwa kipato ndani ya miaka 3,sijui watumishi wameongezewa mshahara! Au wao si wananchi?
Hali ya maisha japo raia wanajibana lakini hali bado ngumu. Hii haingii akililini?
Tena ungejua wapiga dili wanamaisha mazuri maana walijiwekea hazina ,ndio wenye nyumba nzuri,magari ya kutembelea zaidi ya moja! Hawa ndio tunapanga nyumba zao,tunapanda daladala zao na hata milango yao biashara tunapanga. Tutabaki tunajidanganya wanaona cha moto kumbe maskini ndio joto...
Hapa ndio inapokuja asset na liquid accet,wachumi na walio soma account watakupa elimu ya kuwa na Ardhi,na sio Ardhi tu,Ardhi yenye jengo au miti au minazi au mimea.
Nyumba ni muhimu kama una family, hata Mke na watt watajua wana kwao l
Nyumba ndio zimewatoa wengi maana unakopesheka.
Nakubaliana...
Hapa msajili anaipaisha na kuipa umaarufu ACT bila kujua,hata raha ya ushindi ya Taifa Star imepotea kabisa.
ACT sasa INA wapiga kura wengi hasa wale tusio na vyama. Kidumu chama cha ACT,Zidumu busara za Zito Kabwe,tumaini LA Vijana na walio Kata tamaa!
Mungu itangulie ACT
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.