In Magu Voice"Bei ya sasa ya soko la korosho ni sh 2000 kwa kilo na kama mtu hataki basi akanywee chai na wanae maana lazima tuwaambie ukweli"... Kama namwona vile baba Jesca akiandaa mkwara huo
Hii tabia ya Rais kuwagawa watanzania inatokeaga maksudi au ni kweli yake toka moyoni? Nimeona kwenye hotuba zake nyingi akionesha ubaguzi wa waziwazi na kutaka kuaminisha uma kwamba yeye ndio hufikiria sawa kila wakati kuliko wengine .
Jana wakiwa kwenye kongamano lao pale Udsm amewabagua sana...
Naomba kuuliza kama kuna historia yoyote kati ya Simba Sc na uhuni/umafia maana viongozi wake wengi kutwa wako mahakamani kwa makosa ya jinai.
Tunayo mifano mingi kuanzia Rais Eveva, Makamo wake Kabulu, Hanspope, na Manara.. Ukirudi nyuma kuna watu kama Rage na Hassan Hasanoo ambao walifungwa...
Mbeya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ameagiza Katibu wa CCM kata ya Maanga jijini Mbeya, Norasco Tibakawa kukamatwa na kuwekwa rumande saa 24 baada ya kudaiwa kutafuna Sh20, 000 za rambirambi.
Chalamila ametoa amri hiyo leo Jumanne Oktoba 16, 2018 wakati akisikiliza kero za wananchi wa...
Habarini za jioni?? Nimekuja kwenu kuwasilisha ujumbe huu umfikie Melard Ayo na wenzie walioamua kuchezea tasnia ya takwimu na tafiti kwa kujificha nyuma ya '' wataalam wa mambo''
Eti"Wataalam wa mambo wanasema mtu anayechungulia maziwa ya kina dada ana nafasi kubwa ya kuishi miaka mingi kuliko...
Nimepata taarifa kuwa uokoaji umesimama katika Ziwa Victoria kutokana na giza kuwa kikwazo... Hii inatia simanzi kwani itasababisha hata wale walio hai wanaopigania uhai wao ndani ya maji muda huu kupoteza maisha kwa kukosa msaada wa haraka.
Hili limenipelekea kujiuliza kama ile bajeti yetu ya...
Akiwa kwenye mkutano wa kampeni Monduli amesema yeye na Lowassa wameinunua Chadema bill 78 ingawa baadae alistuka na kubaki CCM.
Mbunge huyo wa geita ambaye hivi karibuni nyumba na mali zake nyingine zilipigwa mnada kwa kukosa mill 100 alizokopa benki amewashangaza wengi kwani inakuaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.