Kaza buti dogo, Shule ya SUA si lelemama!!!!. Kama ungetaka ubwete unge-apply-IFM na vyuo vingine. SUA inafahamika na hata wenye nywele nyeupe.......acha mchezo dogo, kula kitabu kisawasawa.....
Hivi huyu mwanamuziki wa Bongoflava... NEy wa Mitego aliyeimba "Makahaba wenye viwango wako Bongo Movie" alikosea au aliwaonea wasanii wa Bongo Movie? Nafikiri ni vyema tukatafakari kuhusu suala hili
Usijaribu kuhisi wewe... Ndo maana nimeweka picha ili walio serious waweze kuona. Naona wewe hauko serious. Ni vyema ukanyamaza kuliko kubwabwaja tu. Usijionyesha kama unaweza kuandika through great thinkers Website. Acha wanaohitaji magari waongee. pusi weee!!!!!
Hizo tyre zake ni KUMHO ambazo hazina kashat kubwa. Naamini wanaojua magari hapo tunaelewana. Kama uko serious na unataka kuiona physical unaweza kuiona wakati wowote.
Kaka sio kila mtu anauza gari akiwa na shida. Nimeamua kuuza kwa sababu tu nimenunua gari lingine. Najua wewe sio mnunuzi, na ni afadhali kama hunauwezo kaa kimya. Kuna wanaOhitaji watawasiliana nami. GARI NI NZURI NA HAINA TATIZO LOLOTE. Check hizo picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.