Search results

  1. M

    Huyu ni nani?

    najua kua ni mfanya biashara .Naalikua kwenye kesi ya kutapeli pesa bank na anajenga kiwanda cha cemet mbagala. kinajiita dar cement
  2. M

    I smell ufisadi at Machinga Complex

    kweli wadanganyika ni wapole sana na dio maana hayo mambo yanafanyika bila hata ya woga. hivi kweli kweli kweli kabisa bila hata ya kuona aibu kidogo kwamba jamani nyie milishaiiba vya kutosha sasa basi tuache tujenge nchi no watu wanazidi kupena KAZI! mi sipati picha hao wanao simamia haya...
  3. M

    Kikao cha CCM: RA Atema Cheche "Nitajiuzulu...."

    ndugu zangu hawa wanasiasa wanatuchanganya sana wameiba sasa wameona ndio wakati wa kutueleza ni kwa vp walivyo chota mahela na nani aliiba alipewa na nani, na kwa stail hii hakuana mtu anaye aminika hata mmoja nchii hii. nyerere peke yake ndo alikua safi na ataendelea kua safi hawa waliopo...
  4. M

    Dr. Mwakyembe Vs. TAKUKURU

    hii nchi ndugu zangu inamaajabu sana . sasa wanataka kuwahoji wakina mwakyembe ili waweze kuwatisha wabadilishe misimamo juu ya swala la richmond. huyo hosea ni mtuhumiwa wa kuisafisha kutokana na rushwa sasa yeye anawatuma vijana wake ambao walishirikiana nae kuisafisha richmod kutoka katika...
  5. M

    Mh. JK hatimaye akiri

    huyu jamaa ukimsikiliza utadhani ni bonge la mtekelezaji ile yote siasa hakuna mabadiliko mambo mangapi yanafanyika bila haki amekaa kimya hii ndio tanzania zaidi ya tu ijuvyo siasa kila kona mpaka kwenye mambo ya ukweli
  6. M

    Kikwete Sio Mungu

    hivi alivyosema watanzania tuache kununua magari ya kifahari tununue matrekta cjajua anaanisha nini!! kwani yeye na serikali ndio wanunua ji wakubwa wa magari ya kifahri ya pesa nyingi na wanayatumia kwa muda mfupi utaona yamebadilishawa kwa nini serikali isinunue matrekta kwanza ! ili sisi...
  7. M

    Sipendezwi na tabia ya viongozi kuwatuma walemavu kuomba omba maofisini

    nchi inakwenda kama tren isio kua na breki kwenye mteremko mkali hawawezi kuweka mambo kama hayo ya maendeleo. kwani kila kiongozi akipewa madaraka anakuja na namna yake na mawazo yake .hakuna master plan kwamba kila mtu anafata au anatakiwa kuboresha. we ukipewa madaraka unaanza kufanya kazi...
Back
Top Bottom