ukimuuliza maswali hayo hawezi kukujibu anazunguka, atakwambia serikali ya awamu ya tano haina mchezo. serikali ya awamu ya tano imejipanga kweli kweli itanyosha na kurekebisha kero zile tulizozisema kwenye katiba
hata yeye kajipanga Kaja na ilani kabisa.
alichoniboa ni kusema hata bunge lijadili vipi ccm ndiyo inayotoa maelekezo. sasa kama ni hivyo kuna haja gani ya kupoteza mda na fedha za bunge? si kila kitu tufate ccm?
R. I. P rafiki yangu kaijage. nimepambana na wewe mwaka 2008 katika Maisha tukijiita warefu camp. ilikuwa kabla hata hujaipenda siasa. inauma Sana ulianza vizuri. pumzika mrefu camp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.