Kibaki, JK and Mugabe got
lost in the forest and were
captured by cannibals. The
cannibal king told them they could
live if they pass a test. The first
step of the test was to go to the
forest and get ten pieces of the
same kind of fruit. So all three
presidents went separate ways to...
3 guys named
WHAT,WHY, and WHEN
were talkin
WHAT:WHY what r u
doing?
... WHY:i dont know what
iam
doing.
WHAT:why?
WHY:why r u caling me?
what? WHAT:now why did
u cal
me?
WHY:what! When did i cal
u?
WHEN:in ur problem why r
u callin me?
WHY:what? did i cal u?
When?
WHAT&WHEN...
Kila wakati jamaa akisafiri,mkewe alikua na tabia ya kumuekea condom kwa bag lake.jamaa akawa anawaza kwani vp tena.mke wangu anajua dili zangu ama niaje? Ikabidi siku moja amuulize mkewe kwanini ana mazoea ya kumuekea condom kwa bag.mke akamjibu kwa upole.c unajua mambo ya sikuizi.mie afadhali...
3 NICE FACTS :-
1. Once, all villagers
decided to
pray for rain, on the day of
prayer
all people gathered and
only one
boy came with an
umbrella ...
THATS FAITH
2. Example of the feeling of
a one
year old baby. When you
throw
him in the air, he laughs
because
he knows you will...
jamaa flani baada ya kupata ajali noma sana akiwa ndani ya RANGEROVER yake aliskika akimlilia askari katika eneo la ajali 'mamaa yangu,RANGEROVER yaangu haijamaliza hata mwezi'
askari akamtazama na kumjibu ' hivi wewee akili yako nzima kweli.unalilia gari kwani huoni kuwa mkono wako umekatika...
Wakiwa ndani ya kanisa mtoto alimuambia mamake,mama nataka kukojoa..mama akamjibu hio sio njia nzuri ya kusema.wakati mwingine ukiwa ndani ya kanisa na unaskia kukojoa sema unataka kuninong'onozea.
Jpili ilofuata mtoto akiwa ndani ya kanisa akiwa na babake akajiskia kwenda kukojoa hivyo...
Boss aliingia afisini mwake asubuhi huku akiwa amesahau kufunga zipu ya suruali yake na kukumbana na sekretari aliemuuliza boss..je,ulipotoka nyumbani umekumbuka kufunga geti ya mahala unapoegesha magari yako?
Boss akafkiria kwa mda na hakumjibu.
Baadae Boss akaenda haja ndogo na loooh...
Jamaa flani aliezoea sana kushinda FACEBOOK alipigiwa cmu kuwa mkewe kafariki na kwamba anatakikana haraka fasta aende akamtambue kama ndie kweli mkewe...jamaa kadaisha "aisee nipo bize sanaaa hebu mpigeni picha na muiupload Facebook na mnitag kama ndie nitagonga "LIKE"...ebwanawee! Fb noma.
Three engineers and three
accountants are traveling
by train to a conference. At
the station, the three
accountants each buy
tickets and watch as the
three engineers buy only a
single ticket.
"How are three people
going to travel on only
one ticket?" asks an
accountant. "Watch and...
Jamaa flani alipata demu msafiii.akaamua kumpia saundi.katika hali ya kumwaga mistari ghafla bunduki yake ikasmama..dah.jamaa ilibidi aende chemba na kufungua zipu na kutoa bunduki yake na kuiambia kwa hasira "haya katongoze wewe kwa tamaa zako!!!"
Inasemekana wabongo kwa upole na ukarimu ni nambari wani.cheki hii.
Eti m'bongo akifariki na kwenda mbinguni huwa hivi.
M'bongo: malaika,mimi ni wa motoni ama mbinguni?
Malaika: kaka,wewe ni wa motoni.
M'bongo: ahsante malaika.haya nielekeze ni wapi..malaika anamuelekeza.na hata...
Unajua ukitaka kumtishia mschana wa kichina mwambie ana ugonjwa wa SARS.ukitaka kumtishia mschana wa kikenya muambie ana UKIMWI..mschana wa kiamerica utamshtua ukimwambia anaugua CANCER..na mwisho ukitaka kumtishia mschana wa kibongo....muambie huna HELAAA!!
Man & wife go to Zoo. In
front of Gorilla cage,
man says: Excite him like u do to
me
Wife removes her top, Gorilla goes
crazy.
Man: Tease him more
Wife removes her denims, Gorilla
goes wilder...
Man opens cage, pushes wife in &
say's : now tell him U hv a
Headache & u r not in the Mood...
Natanguliza na salaam.
Kuna dada flani amepatwa na tukio ambalo hakutarajia japo ni mtu amekomaa.Anadai kuwa katika kabila na mila zao hajawahi kuliskia ila ndilo hili linamsumbua akili.
Ni wa tatu katika familia ya waschana watatu.Ana miaka 28 na dadazake wanaomtangulia wana miaka 32 na 36...
A new pastor was visiting the
homes of his congregation.At
one house it seemed obvious
that someone was at home, but
no answer came to his repeated
knocks at the door.Therefore, he
took out a card and wrote
"Revelation 3:20" on the back of
it and stuck it in the door.When
the offering...
jamaa baada ya kutoka dili mida ya saa mbili usiku alijisachi na akapata hana nauli ya taxi.hivyo akasimamisha taxi huku akipiga mahesabu itakuaje.alipouliza bei dereva akamuambia elfu tano.hakusita akaingia na taxi ikampeleka na alipokaribia kwake akamuambia dereva tafadhali simamisha hapo...
A businessman sends an email to
his wife.
'My Dear Wife,
You will surely understand that I
have certain needs that you with
your 54 years can no longer
supply. I am very happy with you
and I value you as a good wife.
Therefore, after reading this
email, I hope you will not
wrongly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.