Search results

  1. K

    Kama umepangiwa vyuo viwili unafanyaje ile kuconfirm kimojawapo.

    Ukipangiwa vyuo viwili unafanyaje ili kuconfirm kimojawapo?
  2. K

    Elimu yetu

    Elimu yetu inaitaji maboresho makubwa sana, ikiwemo mishahara ya watumishi wa u walimu pamoja mazingira ya kuishi.
  3. K

    Matatizo ya sekta ya elimu

    Mpango mpya wa elimu, uliotangazwa hivi karibuni, kiukweli hawajafikiria vizuri tatizo hasa la elimu, tatizo la elimu sio kuongeza miaka ya kuhitimu shule ya msingi, kutoka miaka saba mpaka kumi, tatizo ni vitendea kazi, mazingira ya kujifunzia, mishahara ya walimu, haya ndio mambo ambayo...
  4. K

    Tanzania with education

    Last year,the budget of ministry of education and vocational training was more than fifty percentage of the whole budget,but still most of the students got chance to join higher learning institution didn't got loan,now the question is,the budget of this year 2014 to 2015,is more than seventy...
  5. K

    Nchi yetu,,,,

    Tanzania ni nchi yetu,swala la elimu lanzima tulipiganie wote,kila mtu kwa nafasi yake lanzima ajitaidi kufanya awezacho ili elimu yetu isonge mbele.Kwa sasa kinachofanyika ni kulaumu tu badala ya kushauli na kutoa mapungufu pamoja na namna ya kutatua,tukifanya hivyo tutafika vizuri.
  6. K

    Vijana tunasomea ualimu uko tumenyimwa mikopo,,,tukiajiliwa tutaambiwa tufaulishe,,aisee,,tutaona,,,

    Mimi staki kuamini Taifa langu linanibagua,ila sera mbovu na mikakati mibovu,utendaji mbovu ndio unatubagua.kila siku tunasikia kwamba serikali inawekeza katika elimu,,mbona ualisia wake ni vichekesho!leo hii mtu anasomea ualimu bila mkopo,,alafu huyo eti unamwandaa akimaliza akatengeneze "BIG...
  7. K

    Tcu,,inawataka wanafunzi waliokosa vyuo na ambao hawakuomba,,,waombe,,vip loan?

    Wakata TCU ikiwataka wanafunzi waliokosa vyuo kuomba tena vyuo kuanzia tarehe,,,14/10/2013,,,na wakati wanafunzi wanafunzi waliochaguliwa,,wengi wao wapo nyumbani wakiangaika kutafuta,,,fedha ya kulipa ada na mambo mengine,,,sasa inaonekana elimu ya Tanzania kila mtu anaichenzea tu kama...
  8. K

    Wabunge wachukue hatua dhidi ya Waziri wa Elimu, anaua nchi!

    Waziri wa elimu amekuwa hana msaada wowote katika sector ya elimu,,,bodi ya mikopo imefanya madudu,,yeye anakaa kimia,,,kabla bodi ya mikopo aijatoa takwimu ya wanafunzi waliopata mikopo,,, Msemaji wa bodi hiyo alinukuliwa akisema mwaka huu,,watatoa mikopo kwa wanafunzi,,35,000.lakini cha ajabu...
  9. K

    Kwenu Kinana na Nape - Tuelezeni haya

    Waziri wa elimu na watendaji wake wengine ni hatalishi kuendelea kubaki ndani ya nyanzifa zao,vijana wengi wataikimbia CCM ususani wale wanajiunga na elimu ya juu,,matatizo ya bodi ya mikopo. Bodi ya mikopo kwa sasa ni matapeli wakubwa sana,eti mwanafunzi aliyemaliza kidato cha sita miaka...
  10. K

    Bodi wafanya ujinga,,,,eti ukimaliza miaka mitatu iliopita,,,upati mkopo,,hivi hii ni sababu kwel?

    Bodi ya mikopo imechekesha mwaka huu,,ukimaliza miaka mitatu iliopita ni moja ya kigezo cha kukunyima mkopo.hivi wanajua ni kwa nin mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita alikaa muda huo bila kuomba chuo?bodi wanajifanya awajui matatizo ya watanzania?watu wengi tumemaliza kidato cha...
  11. K

    Elimu ya juu wakati wa nyerere,,na mikopo ya elimu ya juu,,,,

    Wakati wa nyerere,,,watu wengi walinufaika na elimu ya juu,,,watu hao ni viongozi wetu walioko madalakani wakati huu,,toka juu mpaka chini,,,kipindi hicho nchi hii ilikuwa inaendesha uchumi wake kwa kutegemea bidhaa ndogondogo sana,,,kama kilimo,,vyazo vingi vya mapato vilikuwa ni vidogo...
  12. K

    Mkopo na Priority Programs: Ingia hapa ujue kama utapata au umekosa...

    Kwanza,,,ongera kwa waliopata.lakini kitu cha msingi ni kujua kwamba fakati gani ulikuwa umechaguliwa,,,na je ni priority?maana unapokuwa unafuatilia ususan ukienda bodi hayo ndio maswali utakayo ulizwa,,,,kama course yako ni priority,,,lakini umekosa fuatilia utapata,,usikate tamaa,,,serikali...
  13. K

    Know how,,,is not matted,,,,,,,but know who,,is matted,,,mikopo.

    Vija tukumbuke kwamba,nchi hii inatawaliwa na dhana ya kujuana sana,,,ila kama umekosa mkopo usikate tamaa,,,cha msingi ni kujua tatizo la nchi yetu liko wap?na tunatatu vip?lanzima tujitaidi kwa namna yeyote,,kuhakikisha kwamba hali ya kujuana inakomeshwa ndani ya nchi yetu,,,na sio...
  14. K

    Bodi ya mikopo yakutana tarehe 3/9/2013,,kujadili utendaji,,,,,,,

    Kwamujibu wa mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo elimu ya juu,ni kwamba mwaka wa masomo 2013/2014,bodi inategemea kuwakopesha wanafunzi 98025.kati ya hao,wanafunzi 35649 ni mwaka wa kwanza.kwahiyo kwa taarifa hiyo ni wazi kwamba mwaka huu,wanafunzi wengi wategemee kupata mikopo ya elimu ya...
  15. K

    Baada ya tcu,,tcu,,,kumaliza,,,sasa jamv,,,yatia presha sasa kwa heslb,,heslb,,,

    Sasa kaz imebaki kwa heslb,,,,kuwatia presha hawa jamaa ni kitu cha muhimu sana,,,wanajamv,,,,maana ili jukwaa wanapitia watu wengi sana,,,wadau wa heslb,,pia wanapitia sana tu,,,Alafu wiki mbili zilizopita rais wa Tz,,aliitaka tcu kudaili wanafunzi wengi,,sababu kuna upungufu mkubwa...
  16. K

    List of applicants selected to join mzumbe university,2013/2014

    Haya mzumbe,enjoy yourself,,,,,http://main.mzumbe.ac.tz/documents/SELECTEDCANDIDATESFORDEGREEPROGRAMMES2013.pdf:kev:
  17. K

    Jamani kuna list ya majina tcu,ambao wamechaguliwa zaidi ya chuo kimoja,,,nenda web yao,ucheki,,

    Jaman kuna list kubwa sana TCU,imetolewa kwa wanafunzi waliomba kupitia tcu,waliochaguliwa zaidi ya chuo kimoja,,kama jina lako limo,inabidi uandikie barua tcu ya kuwajulisha chuo unachotaka kwenda,,,hiyo ni kuazia leo tarehe 28,august,mpaka tarehe 4,september.baada ya hapo,kama...
  18. K

    Kuna mtu yeyote aliyefungua website ya tcu na aka login

    Aisee,haya mambo sasa yamekuwa too much,hivi jaman kuna mtu yeyote aliyefanikiwa kufungua web ya tcu?alafu akaona information zake ziko vip?yaan program zake alizochagua,,,,maana mimi siku ya pili sana kila nikifunguas inafeli tu,,,msaada hapo jamani.:argue:
  19. K

    Msaada jamani.................mambo ya tcu.

    Jamani kuna rafiki yangu alijikuta amejaza course ambayo ipo open university,kimakosa.sasa anataka kubadilisha,je,iyo inawezekana kutumia muda huu,wanapofanya awa wa third round application?lakini kila akijalibu kuchange inakataa,msaada tafadhari.:kev:
  20. K

    Tcu,wanaumiza kichwaaaaaaaaaaaaaaaa!kuna call for fourth selection!

    Kwa mtililiko huu tcu mwaka huu,tutafika mpaka ''call fourth selection''.majanga mwaka huu,agizo la mweshimiwa rais wadail wanafunz wengi coz,kuna mapunguvu mengi ususan wahadhiri,sasa sijui loan bodi wanatosa watu,tcu nao vilevile,du!hivi kwa nini nchi hii aliyesoma anaweka vikwazo kwa wengine...
Back
Top Bottom