wanawake mlio ktk ndoa na wanaume fikiri kabla ya kutenda usifanye jambo ambalo utahisi mwenzi wako atakuhisi vibaya na kutia doa ktk ndoa zenu na huyu dada me namchukulia kama dada yangu wa kufikia wala sina mpango nae mwengine wowote na tunachati mpaka ss. na fundisho hili naye pia nimempa...
kuna dada mmoja nilkutanae ktk mtandao 1 hivi wa kijamii baada ya kuchati nae kidogo akanipa namba ya simu ili tuchati vizuri pindi tupo ktk mchatiko aliniambia kuwa yy ni mke wa mtu (kidume nikajisemea moyoni hii sumu ss) basi nikajisemea hapa sina changu kashawahiwa niachane nae nisije...
hawa wanawake hawafai kabisa ukijaribu kuchimba utaona baada ya kumuoa tu mama mkwe anampeleka mwanae ambaye ni mkeo kwa mganga wakafunge akili yako akihofia kuporwa mume unakuwa haujielewi mpaka unaanza kuwasahau kutowasaidia ndugu zako hadi mama yako mzazi daaa... bas tu ndo hali halisi
fuatilia vyuo wanavyotoa hiyo kozi unayoipenda ya uwanasheria ukaanze ngazi ya diploma may be 2 yrs then unachukua degree yako UDSM baadaye utakuwa hakimu ukienda form 5 au 6 we mwalimu mtarajiwa maana utataka mkopo ili uupate itakulazimu ukashike chaki
fuatilia vyuo wanavyotoa hiyo kozi unayoipenda ya uwanasheria ukaanze ngazi ya diploma may be 2 yrs then unachukua degree yako UDSM baadaye utakuwa hakimu ukienda form 5 au 6 we mwalimu mtarajiwa
me siyo mwalimu hivi mtu anaposema eti waliofeli ndo wameenda ualimu huu ni uongo mtakatifu kwa div 4 ya point 27 au 28 kwa miaka ya nyuma na waliopata zero watasemaje embua tuondoe hiyo dhana potofu wajameni
hiki kitu ni kizuri hasa kwa wale wenzangu wa misuli yatima hatimaya mama wa kambo a.k.a myelimu kapatikana nzuri hiyo mkuu hongera sana mzeyaaaaaaa..,!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.