Nakumbuka DTV enzi izo siku za alhamisi kulikua na superman hata sijui kipindi kilikua kinaitwaje aisee yani nilikua napenda kuliko kitu kingine chochote...
Yani hii ndo naimiss kuliko zote nilikua boarding school basi jumamosi tunajificha ndani ya nyumba ya mwalimu mmoja tunaangalia marudio kwa hofuu maana mkikutwa ni soo..na iyo jumamosi unavyoisubiria yaani ni shiidaaa
Ha ha u have a point kutokana na zile picha though i dont believe kama ni zake..behind the keyboard simkubali kabisa wala haendani na zile photos at all... and kuna one post aliweka photoz za Dayna(not sure sikumbuki vizuri) with some guy wakiwa beach...the guy ndo yule yule wa photoz zake ndo...
Mimi nakukubali kama ye hakutakii...lol...
Ps: sio mchunaji mie i make my own cash,in short i depend on me ila si mbaya ukinipamper kidogi...wink wink...
Ha ha ha Nish...I was thinking the same thing!!na mleta mada na mada zake hafananii na zile picha lols...
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.