Haitakiwi kupunguza mapenzi baada ya kuoana, maana kitendo cha kumuacha mwenzio home kila unapotoka out ni sehemu mojawapo ya mapenzi kupungua. Inapaswa utoke na wife wako ndio inaleta heshima hata kwa wale wanaopenda kuharibu mahusiano ya watu wanashindwa waanzie wapi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.