Kichwa cha habari kinahusika kama kilivyoandikwa
Bei ya hecta 1 ni 200,000.
Ukubwa wa shamba hecta 30.
Wakati wa masika unaweza lima mazao kama mpunga na wakati wa kiangazi waweza lima vitunguu n.k kwa umwagiliaji kwakutumia mto wami!
Shamba liko kilometa 40 kutoka mjini kupitia njia ya...
Za Asubuhi wote.
Ni hivi mimi nimepangisha chumba maeneo flani hivi, na nyumba hiyo ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya familia kwahiyo ina sebule ambapo mlango mkubwa upo wa watu wote(wapangaji wanne ambao kati yetu wawili wanafamila zenye watoto na familia moja kati ya hizi zenye watoto...
Ofcourse hawajawataja jina kuwa ni Telexfree ila timing ya tangazo kutoka siku ya leo
inakwambia kabisa wanamlenga nani.....lolest.......
Kumbe huko serikalini hamjalala sana eeh? tumechonga sana wiki hii na nyie mkatoa tangazo fasta.......
Yani jinsi walivyofafanua maana ya upatu haramu ni...
Za asubuhi wana JF wote na wapenda maendeleo wote!
Nimekua nikichukizwa sana na wafanyakazi ambao unahitaji msaada wao kikazi tena mfanyakazi mwenzio anakuambia subiri nimalize kunywa chai!
Ninavyoelewa kwenye policy za kazi na terms za contract hakuna mda uliopangwa for breakfast kwahiyo kama...
Nimekua nikiona wanawake kwenye movies ambao wamo kwenye usiano na wanawake wenzao na hawaonyeshi kama kunakutegemea support ya kimatumizi kutoka kwa mwenza wake zaidi ni wivu ndo huonekana zaidi! je kwenye maisha ya reality wanawake wa aina hii walioko kwenye mahusiano na wanawake wenzao nao...
HUYU NDIYE MTU ALIYE VUNJA REKODI YA DUNIA KWA KUISHI KWA MUDA WA MIEZI SITA BILA MOYO!
A 37-year-old man from Czech Republic recently became the first man to live without a heart for six months.
Jakub Halik, a former firefighter lived without a pulse for six months after...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.