Kiongozi bora hatokani history ya waliotangulia, bali willingness ya mtu mwenyewe!
By the way naweza nikawa namiss kitu hapa, unaweza kuniambia kuhusu hawa watu watanisaidiaje kumpata kiongozi bora kwa kujua tu waliongoza lini au walifanya nini! kukata tamaa ya kuwajua hakukuanza ghafla...
labda haina umuhimu wa kukumbuka wala kuhifadhi, utahifadhi watu ama matukio yasio na tija?
binafsi naona ni bora hichi kioja chako kuliko kukaa ukawasikiliza hao uliowataja wakiongelea chochote kuhusu nchi yetu iwe cha maendeleo ama utafunwaji wa nchi hii. i have lost their touch.
#gasper do santos hujamuelewa #Cannabis kasema nini, sembuse kuelewa nilichosema! acha story za kwenye kahawa!
Unakuwa kama yule mtangazaji aliyesema yanga ina fans zaidi ya million 35 Au tigo has more than 31 millions of subscribers! This is 2016, 3yrs kwenye uchumi ni kubwa sana! we now have...
hivi hii million 3 ya watz wanaotumia bank umepata wapi? 3 out of about 59 millions people? au 3 out 33 pc of Adults? i think your misleading. yaani at average ya kila bank kuwa na wateja 52000?
Unaandikaje kichwa cha habari kwa style hiyo halafu kilichopo ndani hakina uzito wa unachokisema?
Kweli you live in the world where your mind walks away from your body every time you talk or writtes
Kumbe saa ingine una kitu kichwani ila tu hisia na ushabiki ndo unakuaribia.
Asante kwa kunielewesha na kunieleweshea hawa walioomba kufungua shule na kukubali kuifata sheria wakijiaminisha kuwa hakuna atakaeifuatilia, sasa tumepata mtu wa kuifatilia wanalia.
My friend embu nenda kasome HR manual ujue your strength and weakness ulizonazo ahead.
Maswala ya pension yapo wazi kama huna obligation yeyote ya kulipa mikopo to your employer pension yako itakuwa ni mali yako!
Mzee Tupa Tupa sijawahi kuchukia mada zako, at least kuna mtu anaona na kufikiri zaidi.
Saa nyimgine unanifanya napunguza chuki thidi ya makada kwa kupitia thread zako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.