Search results

  1. Single D

    Yuko wapi Rama mla watu?

    Angalia hapa https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/457099-rama-mla-vichwa%92-na-mamake-wauaji-kuachiwa-huru-kwazua-utata.html
  2. Single D

    Yuko wapi Rama mla watu?

    Mbona waliachiwa huru yeye na mamaye May 2013
  3. Single D

    Mitandao ya Simu KERO..KEROOO, WIZI MTUPU!!!

    Hii mitandao wizi tu,wala hakuna cha promosheni,ukiwa hata na salio ndani ya simu ndo ugonjwa wa moyo,yaani wanakwangua kabisa.TIGO ndo balaa kweli
  4. Single D

    Tanzia: Askofu Thomas Laizer wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

    Mungu amweke Askofu Thomas Laiser mahali anapositahili
  5. Single D

    Ccm yapata mwenyekiti mpya mkoa wa Kilimanjaro

    Tom Ngawaiya amepata alichokitafuta huko,sasa anakataa kusaini wakati matokeo yameshatangazwa,rufaa ataipeleka wapi?Rudi nyumbani matimila toka huko.
  6. Single D

    Manumba: Polisi lipizeni kisasi

    Kwa kauli za namna hii vita kati ya polisi na wananchi hazitakwisha.
  7. Single D

    "Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

    Huyu ndo alikuwa Tabora anatimiza maagizo ya waliomtuma kwenye chaguzi zile,leo yuko kalasi duh!Tunasubiri tume ya nchimbi
  8. Single D

    vurugu za mbagala katika picha

    Mbona maandamano kila ijumaa tu?Haya masuala yasipodhibitiwa yataleta uvunjifu wa amani.Serikali dhaifu...............
  9. Single D

    Encouraging news about Dr Ulimboka!

    get well soon
  10. Single D

    Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

    It's what happens when you have Serikali dhaifu isiyojali na kusikiliza.Wataamka baadaye wakati maisha ya wagonjwa yalishaishia kuzimu.:embarassed2:
  11. Single D

    Farewell-Kwaheri Regia: A Tribute Page

    Our thoughts are with you at this time of great sadness Rest in peace Regia Mtema
  12. Single D

    Mapenzi magumu

    duh!mbona hatari
  13. Single D

    Ewura kujidai kuisamehe BP wakati huo huo kampuni ya BP imeuza hisa zake zote inaingia akilini?

    sawa kabisa na mwezi huu PUMA wamezungukia maghala yote yenye nembo ya BP
  14. Single D

    Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu yaanza kukata madeni kwa formula mpya!

    Hapo watachemsha,watu wanahama sana hizi private company.Nani atakuwa na muda wa kufuatilia hayo
  15. Single D

    Kakobe, Mtikila wapambana ubalozi wa Marekani

    Poor Mtikila Pesa za mlungura zitamchoma siku moja.
  16. Single D

    Tuliosoma Shule ya Sekondari Tosamaganga tukutane hapa

    Aisee mmenikumbusha mbali sana,enzi za dudu aka mpogole,alipotimuliwa alikuja headmaster msukuma aitwaye Mbanga. Second master Mwavika sijui yuko wapi siku hizi? Enzi za half mile na quota mile.Duh enzi zile
Back
Top Bottom