Search results

  1. T

    Halotel wana lugha chafu kwa wateja

    Ukiomba mkopo Halotel kwa ajili ya dharura muda wa maongezi majibu utakayojibiwa utatamani uhame mtandao saa ile ile. Jibu lao alieliandaa nadhani ni MWEHU wa akili kwa sababu unaambiwa utapata mkopo endapo laini yako iko matumizini kwa zaidi ya miezi 3 wakati laini ina zaidi ya miaka 3 na...
  2. T

    Azam TV ina matatizo ya kiufundi

    Kwa muda mrefu Azam tv matangazo yake hayako sawa sawa, kuna mawingu au uchafu unaoziba picha zisionekano vizuri. Awali nilidhani tv yangu ni mbovu kumbe tatizo hili lipo kwa kila mtu anaetumia king'amuzi cha Azam. Halafu niliona kuwa hili tatizo lipo Azam tu baada kufungua tv ya Zanzibar na...
  3. T

    Mafundi wa Azam TV wamelala

    Ni muda mrefu sasa Azam TV inaonesha hali ya uchafu unaoingiliana na muonekana wa picha. Uchafu huo upo muda wote wa matangazo, ambapo awali mimi nilidhani tv yangu ina matatizo lakini kumbe tatizo hilo la kujivuruga kwa picha nililiona pia kwenye tv za jirani. Lakini mara matangazo ya mpira ya...
  4. T

    Ujenzi wa barabara stendi ya Korogwe

    Kuna ujenzi wa barabara/stendi Ko gowe unaendelea hivi sasa .Hivi sasa ni miezi kibao kama sita hivi imepita kazi inayofanyika hapo haijulikani ni kazi gani.Kuna magari na makatapila yapo hapo kila siku yanazunguka tu na kusababisha msongomano wa magari na kukaribisha ajali. Haijulikani huu ni...
  5. T

    Kero ya usafiri wa kupitia Loliondo

    Ni jambo la ajabu tena kushangaza kulazimisha magari ya Mlandizi via Loliondo. Kama kuna viongozi wa mkoa wa Pwani walipanga magari hayo yapitie Loliondo kwa hakika walikurupuka sana. Nashangaa walisahauje yapitie Tumbi Hospital, Mwanalugali na kwingineko kama ambavyo walikumbuka yapitie...
  6. T

    Kituo cha mwendokasi Kimara, ni jehanamu ya abiria

    Maelefu ya abiria wanaorundikana kituo cha mabasi ya mwendokasi Kimara mateso yake yanafanana moto wa jehanamu. Hakuna sababu yeyote ya maana ya kuwarundika abiria wote hapo zaidi ya kupigania nauli ya sh. 400 tu. Abiria wote wanaochukuliwa Mbezi Luisi kwenda mjini hakuna hata mmoja ambae hua...
  7. T

    Halotel rekebisheni lugha yenu kwenye matangazo yenu

    Badala ya kutumia Kiswahili fasaha Halotel hupenda kutumia kiswahili cha mtaani au cha Kizaramo kama hivi: HAUNA salio la kutosha.... badala ya kiswahili fasaha cha;HUNA salio la kutosha...Hauna hutumika kama vile; Muungano huu HAUNA faida kwa upande mwingine na huwezi kusema;Muungano huu HUNA...
  8. T

    Halotel mna tabia ya ajabu mno

    Likiwa ni shirika kubwa la mawasiliano hapa nchini lakini haliendani kabisa na mambo wanayowafanyia wateja wake. Katika huduma ya nipige tafu hapo ndipo Halotel wanapoonesha udhaifu wao. Ikumbukwe kwamba mteja anapoomba huduma ya nipige tafu hua ni swala la dhalura ambalo mteja anahitaji...
  9. T

    National Health Insurance Fund(NHIF) na changamoto zinazowakabili wanachama wa mfuko huu

    Mfuko wa Shirika la bima ya Afya Tanzania ni wauaji wapya Tanzania kuliko magonjwa yenyewe. Idadi kubwa ya wagonjwa kutoka hospitali mbalimbali zikiwa za binafsi au za Serikali wamekuwa wakikosa dawa muhimu kwa sababu watoto huduma hawana fedha za kununulia dawa kwa sababu malipo hayafanyiki...
  10. T

    Safari channel imeanza kuharibu mambo

    Channel mpya ya Safari Channel ilipoanza ilionekana kama chaneli tishio kwa sababu watu wengi sana wanapenda kuangalia wanyama na matukio ya utamaduni wetu. Watu wengi awali walikuwa waking alia chaneli za wanyama za nje lakini baada ya kufunguliwa hii chaneli ya kwetu watu walihamia nyumbani...
  11. T

    SAFARI CHANNEL IMEANZA KUHARIBU MAMBO.

    Channel mpya ya Safari Channel ilipoanza ilionekana kama chaneli tishio kwa sababu watu wengi sana wanapenda kuangalia wanyama na matukio ya utamaduni wetu.Watu wengi awali walikuwa waking alia chaneli za wanyama za nje lakini baada ya kufunguliwa hii chaneli ya kwetu watu walihamia...
  12. T

    SAFARI CHANNEL IMEANZA KUHARIBU MAMBO.

    Channel mpya ya Safari Channel ilipoanza ilionekana kama chaneli tishio kwa sababu watu wengi sana wanapenda kuangalia wanyama na matukio ya utamaduni wetu.Watu wengi awali walikuwa waking alia chaneli za wanyama za nje lakini baada ya kufunguliwa hii chaneli ya kwetu watu walihamia...
  13. T

    Channel mpya ya Safari Channel ilipoanza ilionekana kama chaneli tishio kwa sababu watu wengi sana wanapenda kuangalia wanyama

    Channel mpya ya Safari Channel ilipoanza ilionekana kama chaneli tishio kwa sababu watu wengi sana wanapenda kuangalia wanyama na matukio ya utamaduni wetu. Watu wengi awali walikuwa waking alia chaneli za wanyama za nje lakini baada ya kufunguliwa hii chaneli ya kwetu watu walihamia...
  14. T

    Mafundi simu kubadili IMEI namba za simu: Je, TCRA wamezidiwa ujanja?

    Kwanza kabisa walitangaza kuzima simu zote ambazo ni bandia lakini cha ajabu ni kwamba TCRA hawana uwezo wa kuzima simu bandia. Mafundi simu wana akili kuliko TCRA kwa sababu wana uwezo wa kubadli IMEI namba ya simu yeyote. Simu mbovu original imei namba yake inawekwa kwenye simu fake na...
  15. T

    Kwanini kunakosekana neno 'Live' kwenye chaneli za Azam TV wakati wa mechi za moja kwa moja?

    Tunaangalia mpira kombe la mapinduzi Zanzibar saa hizi saa kumi na nusu lakini wakati mpira unaendelea baadhi wakadai kuwa huo mpira ni zamani kwa sababu hakuna alama ya live.Kwa wale wanaofuatilia ratiba wakasema ni live ila tu Azam tv wao hawapendi hilo neno liwepo.Sasa Azam kama wao hawapendi...
  16. T

    Azam tv na nembo ya live

    Tunaangalia mpira kombe la mapinduzi Zanzibar saa hizi saa kumi na nusu lakini wakati mpira unaendelea baadhi wakadai kuwa huo mpira ni zamani kwa sababu hakuna alama ya live.Kwa wale wanaofuatilia ratiba wakasema ni live ila tu Azam tv wao hawapendi hilo neno liwepo. Sasa Azam kama wao...
  17. T

    Kukata kimeo ni tiba mbadala kwa magonjwa yote?

    Hapa Visiga kwa Kipofu wilayani Kibaha kuna mganga wa kienyeji mmoja maarufu sana kwa kutibu magonjwa yote kwa kukata VIMEO tu. Kwa wale waliokwenda wanasema anavyo vibali vyote vya serkali vya kuendesha kazi hiyo tu ya kukata vimeo kwa magonjwa yote ambayo mtu anayo.Kuna msusururu wa wagonjwa...
  18. T

    Kero namba moja mwendo kasi

    Mlundikano wa kutisha wa abiria Kimara mwisho unasababishwa na wahusika makusudi ili waweze kujipatia pesa zaidi.Ni jambo la ajabu sana kuwabeba abiria waliojazana Mbezi Luis ambao karibu wote safari yao ni kwenda mjini lakini wote huishia kumwagwa Kimara mwisho.Baada ya kumwagwa hapo huanza...
  19. T

    Azam TV na alama ya "live".

    Tumekuwa tukishuhudia matangazo mengi ya runinga mbali mbali duniani yakiweka alama ya "live" kuashiria kuwa ni matangazo ya moja kwa moja.Lakini jambo hili limekuwa gum mno kwa Azam TV hasa pale wanapoonesha matangazo ya moja kwa moja ya ligi kuu Tanzania.Nafikiri ingekuwa bora wawaweleza wadau...
  20. T

    Je, ardhi hawana gharama rasmi ya upimaji ramani ya nyumba au ardhi?

    Kila Mtanzania ana haki ya kupata hati ya kumiliki nyumba au ardhi, vitu ambavyo vinaweza kumsaidia baadae kupata mikopo katika taasisi za Serikali au binafsi.Lakini hadi sasa ni asilimia kumi na tano ( 15 % ) tu ya Watanzania wote wenye kumiliki hati hizi. Asilimia themanini na tano ( 85 % )...
Back
Top Bottom