Habari waungwana, naomba kujua kama kuna kituo kizuri na chenye kujali maadili cha mafunzo ya michezo hasa mpira wa miguu kilichopo ndani ya Wilaya ya Ubungo - Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani.
Hivi ndoa ni nini?
Nimekutana na stori moja ya jamaa zangu mke na mume ambao hawakubahatika kufika Kanisni kufunga ndoa lakini wemeishi kwa miaka isiyo pungua 7 na wana watoto wawili. Katika kipindi chote hicho wazazi wa pande mbili walisha tambuana na kiasi cha mahali kilisha tolewa.
Tukirudi...
Hello wana jamvi,
Nina suala naomba usaidizi, bwana mdogo anafanya biashara ya TIGO pesa, mwezi mmoja uliopita alipoteza pesa kiasi ki kubwa kwa kukosea kutuma MUAMALA ipasavyo kwa bahati nzuri MTEJA alie tuma muamala huo walikua wanafahamiana. Hivyo alivyo gundua hiyo LOSS na kuahakikisha kua...
Habarini wakuu, poleni na majukumu.
Ni matumaini yangu wote muwazima. Wanajamvi naomba msaada wenu wakuweza kufukuza POPO nyumbani ambao wana ishi DARINI
Nime kua na tatizo hili kwa muda na nimejaribu kuita fumigator lakini bado tatizo lipo .
Sasa wadau, uwanja huu ni Mkubwa na kila mtu ana...
Niafikiria ile siku watumishi wa Mungu wore watakapo amua kusimama na kuliombea Taifa kwa Ummoja. Hapo ndipo tutakapo ona uwepo zaidi wa Mungu alie umba mbingu na binadamu wote, wenye nguvu na wanyonge, matajiri na masikini, jeuri na watiifu. Naitamani siku hiyo. Na siku hiyo inakuja. Ambapo...
Kinacho tuuma ni pale zinapo kuja " ooh baby nataka kwenda saluni" ooh " Fulani Ana Peluvian Hair" oooh sijui " sija tengeneza nywele zangu siwezi toka"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.