Acha udini
Suala hapo mlishindwa kumlea huyo binti mpka akapata na ujauzito akiwa hapo nyumbani
Wakristo wangapi wameoa na wanamichepuko mtaani kibao??
Umemuuliza huyo ndugu yenu kwann kaachika mwaka mzima??
Ama nungwa zimekujaa na kuanza ku-attack imani ya mtu
Wezi tu hao wanakubambikia madeni ambayo hayapo
Kama unapresha nkushauri usiaangaike kuangalia deni lako maana upuuzi utakauona huko utakukatisha tamaa hata ya kufanya kazi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naomba ueleze vizur mkuu
Anuani uliiandikia ni ipi?
Kwa mfano mm kesi yangu nilimaliza deni kwenye salary slip kama inavyoonesha mwezi huu wa january lakin nashangaa bodi wameniandikia deni jipya la zaidi ya milioni mbili
Nataka niandike barua ya complain na wanipe ufafanuzi kwann wameniandikia...
Kimsingi inasikitisha sana. Raisi wetu mpendwa anapambana kupunguza mizigo kwa wananchi wake lakin kuna watendaji wanamuangusha.
Raisi wetu mpendwa alitangaza hadharani kuondoa 6% ya ongezeko la thamani kwenye mikopo ya elimu ya juu( value retention fees) na penati zote.
Hali hii ilipelekea...
Habar wana JF,
Kupitia ukurasa huu napenda kutoa dukuduku langu na kama kuna wanaohusika bas hatua zichukuliwe
Bodi ya mikopo katika makato yao ya mwezi huu wa sita, makato yao hayaeleweki
Kwenye salary slip makato yao wameonesha kiwango walichokata lakini cha ajabu deni la msingi kiwango...
Kwanza elimu uliyokuwa nayo ni mtaji tosha tu
Walim wa fizikia ni wachache sana na wanatafutwa kuajiriwa
I dnt knw y you failed to persue ur carrie
Biashara siku zote hailet faida ya haraka lazima iwe na up n down
Huwez kupata faida ndan ya miez kadhaa
Inaonekana sio mvumiliv kwa kila biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.