Search results

  1. N

    Tanzania Standard Classification of Occupations (TASCO)

    Natafuta document inayoitwa "Tanzania Standard Classification of Occupations (TASCO)" kwa yeyote anayeweza kuniwezesha kuipata in electronic form or pdf. Nimejitahidi kuitafuta kuitafuta kupitia Google search ila sijafanikiwa na bado naendelea kuitafuta.
  2. N

    Serikali Kuhamia Dodoma: Tujifunze kutoka South Korea

    Tangu Dodoma itangazwe kuwa Makao Makuu ya Serikali ya Tanzania, nilitegema hadi sasa asilimia angalau 75% ya taasisi zote za serikali ziwe zimeshahamia Dodoma ikiwemo taasisi ya Uraisi. Wenzetu South Korea wameanza project ya kuhamisha makao makuu ya shughuli za serikali kutoka Seol kwenda...
  3. N

    One day sale: Uongo wa fastjet

    Tangazo liliwekwa kwenye website ya fastjet kwamba kutakuwa na promotion ya 24 hours kuanzia saa 2 asubuhi leo kwa safari zote za ndani kuwa $20 au Tsh. 32,000/= kwa safari za kuanzia tarehe 15-30/September 2014. Hadi muda huu ninapoandika hapa hicho kilichotangazwa hakijatokea. Online booking...
  4. N

    Endnote x4/x5/x6/x7

    Naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunipatia Keys au serial numbers za mojawapo kati ya hizi: EndNote X4/EndNote X5/EndNote X6 au EndNoteX7
  5. N

    Porojo za Wassira kuhusu Dr. Slaa

    [Mods: Hii mnaweza kuiacha apa ijitegemee kama mtaona inafaa, mimi nadhani inafaa ibaki peke yake] Katika uchaguzi wa 2010 kuliibuka tuhuma mbalimbali kuhusiana na hasa kwa nini Dr. Slaa ameacha upadri. Ninakumbuka Dr. Slaa alijibu hoja zote hizo kuhusiana na jinsi alivyoacha upadri, na hata...
  6. N

    Uthubutu wa kufanya maamuzi magumu

    Wakati mwingine mtu akisema jambo fulani la ukweli, wale wanaouswa na jambo hilo huja juu kumkebehi aliyetoa kauli husika. Hapa nataka kurejea hoja ya uongozi wa nchi hii kukosa uthubutu wa kufanya maamuzi magumu na sahihi au hata kama siyo sahihi lakini mtu awe amefanya maamuzi. Siko hapa...
  7. N

    Wasifu wa Elimu wa Dr. Mary Mwanjelwa

    Taarifa hizi nimezitoa kwenye website ya Bunge. Pamoja na kwamba anaitwa Dr. mwanzo wa jina lake, lakini hakuna mahali panapoonyesha huo u-Dr. unatokana na yeye kupata PhD, au MD, au BVB au Honoris Causa. Pili najiuliza kama Centre for foreign relations walianza lini kutoa BA. Kwa kuwa hadi leo...
  8. N

    Ukame, upungufu wa mvua, na njaa, Je, Serikali haikufahamu?

    Tatizo la ukame na njaa ambayo ni matokea ya ukosefu wa mvua za kutosha katika baadhi ya maeneo hapa Tanzania, linatokana na athari za hali ya klimatolojia (Climate effects) hasa kupoa kwa maji ya bahari kwenye maeneo ya bahari ya Pacific, hali ambayo hujulikana kitaalamu kama La Niña. Utabiri...
  9. N

    Honorary Doctorates for JMK, BMW, JKN and AJ

    Nimekuwa ninjiuliza maswali mengi mojawapo likiwa ni kwanini shahada ya heshima ya udakatari ya rais wetu JM Kikwete inapembejewa sana. Ikizingatiwa kuwa hata viongozi waliopita kama Mwalimu nyerere, Mkapa, Aboud Jumbe nao pia walipewa hizo shahada au na vyuo vyetu au na vyuo vya nje lakini ni...
  10. N

    Wajibu wa serikali kwa raia wake nje ya mipaka ya Tanzania

    Tukio la serikali ya Rwanda kutuma helicopter ya jeshi na ambulances kuja Tanzania (Shinyanga) kuwakoa Raia wake waliopata ajali juzi, linanifanya nijiulize, tukio kama hili lingewakumba watanzania, iwe ni kenya, Uganda au popote pale ingewajibika namna gani katika rescue operation. Shame on our...
  11. N

    Chinese sub pops up in middle of U.S. Navy exercise, leaving military chiefs red-face

    When the U.S. Navy deploys a battle fleet on exercises, it takes the security of its aircraft carriers very seriously indeed. At least a dozen warships provide a physical guard while the technical wizardry of the world's only military superpower offers an invisible shield to detect and deter...
  12. N

    The state of politics in tanzania 2010 - konrad adenauer stiftung report

    Good report to read. This is a pdf version of the report I've made from the one already posted in text format.
  13. N

    Msaada unahitajika

    Ninaomba msaada kwa anayefahamu. Laptop yangu kuanzia jana nikiiwasha inaanza na pop-up window message "Found New Hardware Wizard", ilihali sijaweka hardware yoyote mpya. Je ni tatizo gani?. Ninatumia Microsoft Windows XP Professional SP3. Hapo kabla kuna kirusi "autorun.inf" alinishambulia...
  14. N

    Computer security issues

    Wana-ICT popte pale mlipo: Nina swali ambalo nahitaji kufahamishwa. Mimi nina computer ambayo iko kwenye network almost 24/7. Swali langu ni kwamba je nitafahamuje kwamba kuna mtu (Intruder) ana-access computter yangu na anaiba data kutoka kwenye computer yangu? Ni viashiria gani...
  15. N

    JKU na KMKM zimeundwa kinyume cha sheria

    Baada ya kusoma hukumu ya majaji wa mahakama ya rufaa katika kesi ya S.M.Z. vs. Machano Khamis Ali & Others (Criminal Application No. 8 of 2000) [2000] TZCA 1 (21 November 2000) IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA Majaji hawa wanasema jeshi la kujenga uchumi pamoja na kikosi maalum cha kuzuia...
  16. N

    Ephraim Mrema na Ufisadi TANROADS

    Nimeona ni vyema kuanzisha mada hii kwa ajili ya haya yaliyojiri bungeni kuhusu Afisa mtendaji mkuu wa TANROADS,Epharaim Mrema ilipostiwa mahali ambako nadhani isingepata attention inayostahili. Je, hapa kuna ufisadi? Shadrack Sagati, Dodoma HabariLeo; Ijumaa,July 04, 2008 MKURUGENZI...
  17. N

    JK Towers, a recipe for conspiracy theories?

    Baada ya kashfa ya Richmond tulishuhudia vitu kama Richmod Towers n.k, katika pitapita yangu huku na kuko nimekutana na JK Towers. Je, JK ina simama badala ya nini? Je, ina uhusiano wowote na Rais wa Tanzania? Mmiliki wake ni nani? Je, ana uhusiano wowote na Richmond au EPA?. Tuanze na...
  18. N

    Je, Balali karejeshwa nchini kwa siri?

    Source:Changamoto,Tuesday, 04 March 2008http://changamoto.co.tz/index.php?option=com_content&task=view&id=1246&Itemid=2 Wenye taarifa zaidi watuhabarishe kuhusu hili
  19. N

    Ukishangaa ya Musa utaona ya filauni

    Source:Habari Leo,March 02, 2008http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?id=7381 Hayo maandishi niliyo yawekea rangi,yanaonyesha jinsi tulivyologwa(?)Kampuni ya madini inapata $163bn, serikali inaambulia $4ml na eti huduma za jamii za thamani ya $300elfu. Hapo mkuu wa mkoa anaona tumefaidi, kumbe...
  20. N

    How Much of Naked is acceptable?

    How much should you be naked? how much should you show your body naked? the issues of morality, modesty, unclothed, uncontrolled, modesty, sexuality, lust, weak, spirituality,simplicity, onward, functions, evil, ornamental, heart, simplicity and values.
Back
Top Bottom