Huyu babu vipi? Mbona sekretariati kupitia Mangula na Nape walishatoa msimamo wa chama kwamba wale wote wanaojipitishapitisha watakosa sifa ya kugombea?
Sasa huku kujitokeza sasa kuongea na vyombo vya habari si ndiyo kuzidi kuthibitisha kuwa chama hiki tawala ni vipande vipande, kila kipande...
Kwanza ccm haina uwezo wa kupata viti vilivyokuwa vya CDM yaani Nyasura (Bunda) na Kiboroloni (Moshi).
Pili ccm watanyang'anywa kata zao za Santilya (Mbeya) na Sombetini (Arusha) ambako CDM itawagaragaza vibaya sana.
Tatu kutakuwa na patashika kali baina ya ccm na CDM katika kata za Nduli...
Waache maccm waendelee kukomaa na Zito wao, na CDM kiendelee na safari kama kawaida, na iendelee kuipokonya CCM kata katika chaguzi ndogo za udiwani zitakazofanyika februari 9, kama ilivyokuwa inafanya katika chaguzi ndogo zilizopita.
BTW: kampeni zitaanza wiki ijayo januari 16.
Kuna gazeti limeandika kuwa duru za kisiasa zinawataja Dr. Asha Migiro, Mwigulu Nchemba, Dr. Hamis Kigwangala, Peter Serukamba, Anne Lilango Malecela, James Lembeli na wabunge wengine mwiba kwa CCM kama Kangi Lugola na Deo Filikunjombe.
"3. Ziara za Zitto sio za kujenga Chama. Ukiacha Kigoma kaskazini kwa wapigakura wake, Zitto "ameandaliwa" ziara za Kasulu na wilaya zingine za kigoma ambapo Slaa alipita siku za karibuni. Hatujengi chama kwa staili hiyo.
4..."
Ameandaliwa ziara hizo na maccm, ambao wanashangilia kama...
Kama hizi:-
sixgates: Nguvu ya umma is synonymous to mob justice
taswira: Mfanyabiashara maarufu aliyehama CDM anusurika kifo kutoka red brigade ya CDM
ifweero: Dr. Slaa: Tukishika Dola tutaruhusu utengenezaji wa pombe ya gongo kisheria
Naona wameacha CD ya Zitto imebuma
Safari nje ya nchi zaendelea kutafuna fedha.
Kwa mujubu wa taarifa ya Kamati ya Bunge la Bajeti iliyowasilishwa na mwenyekiti wake, Andrew Chenge, fedha zote zilizopitishwa na Bunge katika bajeti ya mwaka huu 2013/14 kwa safari za viongozi nje ya nchi zilimalizika ndani ya miezi miwili.
Hivi...
CDM ita'retain' kata ya Kiboroloni (Moshi) na itainyanganya CCM kata za Sombetini (Arusha). Partimbo na Loolera (Kiteto- Manyara); wasiwasi wangu ni kule Mtae (Lushoto) na Kiomoni (Tanga) sijui wananchi wamefunguka kwa kiasi gani.
Mkuu mbona kuna kata nyingi tu pande zingine? Ziko za kusini, nyanda za juu kusini, magharibi/kigoma na kaskazini (Manyara, Arusha, Mara na Kilimanjaro)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.