Anachomaanisha ni kuwa uchsguzi halali haupo au hautakuwepo kabisa.
Psychopath huamini kuwa wao ni "mungu" hawashindanishwi hivyo huishia kuwashangaa wanaojaribu kushindana na mungu
Sio utani ana maanisha
Ndiyo ! Demokrasi ya wapumbavu
Amepita bila kupingwa na nani ?
Mbona alipingwa kwenye chama chake ?
Kwanini asiwekwe apate kura zaidi 50 % ya zikizopigwa ili astahili kutangazwa ni mshindi ?
Wakurugenzi wana maamuzi kuzidi wapiga kura wa majimbo
Hivyo wanaopita pasipo kupingwa ni wachaguliwa...
Naamini Watanzania wategemee uchaguzi mzuri na bora sana kuzidi ule wa Serikali za Mitaa ! Tumeweka precedence ya uchaguzi bora kwa gharama nafuu hivyo naamini mipango kabambe imewekwa kuhakikisha tunafikia lengo la kufanya uchaguzi bora kwa gharama za chini
mungu haingii kwenye kinyang'anyiro...
Hizi Juhudi za utu wema wa maaigizo unaofanywa na Bashite ni matokeo ya Roho Mtakatifu kumshuhudia habari ya dhambi zake
Hivyo kwa ujinga wake badala ya kutubu anajituma kujifanya anafanya matendo ya huruma na yanayofanana na hayo.
Utateseka sana wala kuruhusu Injili kwenye majumba ya Starehe...
Unatafuta nani awe targeted kutekwa au kuuliwa ?
Hoja zako zingekuwa na mashiko kama ungejitenga na unafiki
Mazingira hatalishi yaliyopo wapinzani wanatumia busara sana kusita ili kusimamisha utulivu hata kama ni kwa maumivu
Kwa Sababu kama kungekuwa na kiongozi wa upinzani angesema kama mbwai...
Zanzibar uchaguzi ulifutwa na Jecha huku Wabunge wakiwa wamepewa hati za Ushindi au sharia hiyo haihusiani na Wabunge wa Zanzibar ?
Lakini kingine ni hiki TL na Wanasheria wake walikuwa wameona Uharamu kwenye kufukuzwa kwake na kwa maana hiyo hata uchaguzi uliofanyika kitokana na tukio haramu...
Sasa naanza kuelewa kwanini walimkataa yule aliyeteuliwa kuwa mtendaji mkuu wa Vodacom
Kumbe ilikuwa wanamhitaji yule ambaye wangemwendesha kadri ya kufanikisha uhalifu dhidi ya Watanzania !
Too sad
Mahaba yamrkupofusha unataka polisi wafanye kinyume na utaratibu wa awamu ya tano
Musiba ni Spika tu
Msemaji ni mkubwa kuliko IGP sasa unataka Spika ya Mkubwa wa IGP iishi kwa wasiwasi ?
Acheni utani mbaya ninyi
Big up Polisi
Waiteni wote wapeleke mahakamani hati ya Mashiataka mkate kipande cha...
Magufuli alikuwa wapi wakati mikataba yote hiyo ikiingiwa na Serikali ?
Cheap politics na watz kwa ujuha wanasombwa na porojo hizo
Wekeni mikataba wote tuone ubaya huo ili tushangilie pamoja maamuzi ya kishujaa
Huyu mama ni wazi kuwa amelipwa kwa ajili ya jambo hilo
Yeye anaishi Uingereza amefanya utafiti gani zaidi ya kutumia taarifa za wale waimba Pambio wa mfumo huu ?
Yupo kwa kazi maalum ya kujaribu kuupaka upepo rangi
Ticket zaweza kununuliwa zote na kusiwe na uhalisia wowote
Kwa Serikali ya sarakasi kama hii hakuna cha ajabu kutoa hela na kutyma watu wanunue tiketi ili zionekane zimekwisha
Just thinking loudly ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.