Mtu unapanda boda boda ili kuwahi,sasa kama itakuwa tena na tela haina maana ya kuitwa tena boda boda iitwe tuu 'tela la moshi' maana utakua unakula moshi tuu na sio kuwahi...naona next best option baada ya gari mtu utapanda tuu bajaji...
Hivi kama wametumia mitandao ya kijamii kutuma huo ujumbe..serikali kwa kutumia nguvu na vyombo vyake...na wataalamu wake si inawezekana kujua origin ya huo ujumbe na kuweza kuwapata hao wahalifu..naamini serikali ina uwezo huo na wataalamu wapo
ukihama inabidi sasa na mkopo wako uhamie ktka chuo husika ,hapo inabidi uwasiliane na kitengo cha mkopo apo chuoni kwenu wakikuzungusha sana we zama bodi kabisa aisee
jibu nilipata aisee japo sio hapa..jibu ni kwamba kama mtu umepata mkopo ina maana una mkataba wa miaka mitano wewe na bodi ya mkopo so mkopo utaendelea kupata kama kawa ila tuu kwamimi niliona usumbufu pale mwanzoni tuu nilichelewa kusaini...ila kwa sasa mambo yako fresh wananilipia mpaka sasa...
daah ambao wameshakamatwa kwa kosa la kumkashifu/ kumtukana raisi JPM kwa njia ya mtandao sasa wameshafika 10...na polisi wanafanya kazi yao kwa makini kwa kusimamia sheria ya cyber crime.....SWALI: Je ni wanaomkashifu mh. Raisi tuu au ni wanaowakashifu viongozi kwa ujumla ndo inatakiwa...
Mkufunzi toka Chuo Kikuu cha Mkwawa (MUCE) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumtukana Rais Magufuli katika mtandao wa WhatsApp.
Kamanda wa Polisi Julius Mjengi amethibitisha kukamatwa kwa mhadhiri huyo mwenye miaka 48
=========
A lecturer with Mkwawa University College of...
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500...
Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the largest publicly disclosed cyber-breach in history.
The breach included swathes of personal...
sisi mbona tulishahakikiwa tangu kitambo mkuu....si wangetupatia wale ambao tumeshahakikiwa pesa yetu yote then wapewe nusu kwa vyuo ambavyo havijahakikiwa...pia wakati naomba mkopo hamna kipengele cha kusema bodi watanipa nusu.............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.