Hongereni sana, haswa mama Joe kwa ku coordinate, nimefarijika kusikia walihudhuria members wa kutosha.. Nimeshindwa kuhudhuria tukio hili la awali na muhimu kwa sababu ya majukumu mengine haswa tulipohamisha venue kupeleka Dar. Please kama kuna uwezekano mngetupatia mrejesho kwa tulioshindwa...
Hii ilikuwa mwaka 1994, alikuwa waziri wa nishati na madini, na alikuwa anatumia gari mojo inaitwa musso.. Hii picha ilipigwa Tanga Tech School, yalikuwa maandalizi ya miaka 100 ya tanga school.. Mkuu wa mkoa wa Tanga alikuwa ni mkuchika na ninahisi ndio huyo hapo upande wa kulia.. Mimi...
Mkuu nilikuja arusha tena nilikujulisha wiki moja kabla.. kufika arusha hujapokea simu wala kujibu msg.. Sikutegemea hilo kutokea kwako.. NA LIMENITIA MASHAKA MAKUBWA..
Atakayelinunua mimi nitalinunua kwake kwa 40m cash.. watu msiwe wavivu wa kufikiri.. hesabu za haraka hilo gari mpaka bongo inafika 50m.. wewe uuziwe kwa 9m.. tumia akili zako
KUTAIFISHA SEMINARI NI SAWA NA KUTAIFISHA MADRASA... WAKATOLIKI WANAANDAA VIONGOZI WAO TOKA NGAZI YA CHINI.. SEMINARI NI SHULE ZAO ZA KUANDAA MAPADRII.. Kama kuna kanisa lilitakiwa kulalamika ni kanisa katoliki kwa sababu ndio waliotaifishiwa taasisi zao nyingi kuliko dini na dhehebu lolote...
Mbona Dr mwenyewe ni mshabiki wa zito.. Kutufundisha kutokuwa washabiki wa viongozi hali wewe umeonyesha kwa uwazi mkubwa kuwa ni mshabiki wa kiongozi fulani tutaelewa kweli hilo somo.. Ubiri unachoishi
mazingira mtu aliyekulia.. mafundisho aliyopata haswa ya utotoni ndio yanamtengneza mtu.. Kuna watu wanaweza kuwa na akili nyingi sana na uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo.. Ila kuna sehemu chache sana zilizotokana na athari nilizozitaja zikampoteza ufahamu wake..
napata shida kwanini wana CCM wanamtetea sana Nzito.. na ni kwanini hawataki aadhibiwe kwa mujibu wa sheria kama kweli ametenda makosa.. kama kweli wanamuona jembe mbona hawamkaribishi kwao
UKISHAMFAHAMU MTU UNAMCHUKULIA KAMA ALIVYO.. NA HUO NDIO UUNGWANA NA NDIO LIMELIFANYA HILI TAIFA LIENDELEE KUWEPO.. otherwise wote tungekuwa kama wewe pasingekuwa na taifa
Kama ni kweli Zitto ameandika kwenye facebook yake na akafanya hiyo conclusion KUANZIA LEO NA MIMI NINAUNGANA NA WATU WANAOMTILIA MASHAKA KATIKA HARAKATI ZA VYAMA VINGI...
Mbunge wa CCM aliyemshinda mzee malecela kwenye kura za maoni na sasa ni mbunge wa MTERA kwenye chimbuko lenu ana elimu ya kiwango gani? MIMI SI MUUMINI WA ELIMU YA DARASANI... NA SINA UHAKIKA NA UWEZO WA MTU ALIYESOMA ELIMU KUBWA IWE NDANI AU NJE YA NCHI NA HAKUWAHI KUITUMIA HIYO ELIMU KATIKA...
watu hawapendi kufanya hata tafiti ndogo na kukokotoa hesabu rahisi.. Chadema miaka 22 wenyeviti watatu.. Ccm miaka 36 jumlisha na toka tanu.. Zaidi ya 50 wamepita wenyeviti wangapi?
Kweli kuna haja ya kubadili mitaala.. Hizi elimu za kukariri azitusaidii.. tunakwenda shule ili tuajiriwe tulipwe mishahara mikubwa(MWISHO WA KUFIKIRI) dogo mimi niolimaliza miaka saba mbele yako, hapakuwa na tatizo kubwa haswa kwa kozi uliyosoma.. kwani mimi nilisoma electronics &...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.