Ndugu,
Wadau Siku ya jumapili saa 9 alasiri litafanyika kongamano juu ya katiba mpya na nani kikwazo cha kupatikana katiba mpya.
Kongamano hilo litahudhuriwa na Mh Lissu, Mh Lipumba, Ndg Polepole na Mh Wassira,hofu yangu ni kukatika kwa umeme tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.