Acha kudanganya Umma wa W8atanzania...Hii Asilimia 360..IPO sayari Gani.??....bila shaka wewe ndiye uliyekuwa ukiwapikia NEC..zili data za uongo........Jiulize kwanza nini maana ya Asilimia..
Mbona huzungumzii Magufuli na CCM kutoa kafara ya watu kwenye mikutano yake ya campains?
Nadhani unafahamu watu walivyokufa na wengi bado wanapoteza maisha yao pindi wahudhuriapo kwenye mikutano ya CCM?
Kumbuka watu waliofariki Morogoro kwa Magufuli na wale wa Geita vp pamoja na Kigoma?
Mbona...
Wewe ndio utapata pigo kubwa zaidi kabla umfanyie ...mhe. Lowassa...!!!!!!!!!..........tena utubu kwa ajili ya kauli yako kabla mungu hajaanza kukushughulikia mapema sana....!!!!!!!........anayepigana na lowassa anapigana na mungu.....!!!!!!!!!.....tubu mapema na uache fikra zako chafu...!!!!!!
Wewe ndio utapata pigo kubwa zaidi kabla umfanyie ...mhe. Lowassa...!!!!!!!!!..........tena utubu kwa ajili ya kauli yako kabla mungu hajaanza kukushughulikia mapema sana....!!!!!!!........anayepigana na lowassa anapigana na mungu.....!!!!!!!!!.....tubu mapema na uache fikra zako chafu...!!!!!!
This is not fair at all...............mbona hakusema hivo mara baada ya magufuli kwenda nec...........kwanini waseme hivi baada ya lowassa kwenda nec.................!!!!!!!................this is not fair .
Tangu lini kuzuia watu kuhudhuria mazishi??.....................mbona hawa polisi wa tanzania wanahitaji elimu ya uraia........ni ndio system mbaya ya chama tawala ....ccm ........mambo kama haya ndio watanzania tumechoshwa nayo........tumechoka haki zetu kuzuiwa na kuzimwa bila sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.