kazi ipo ila kuna siku mafisadi watapotea kama upepo, lkn tujiulize je hatuwezi? Kama tunaweza kwanini hatufanyi, mafisadi tunawachagua wenyewe kwa hiyari bila kulazimishwa, na tuseme basi inatosha kwa kuwanyima kura,
Mungu ibariki JF
Mungu ibariki Tz
Ndugu zangu wana JF naombeni msaada wenu kidogo, wakati nipo mdogo kule kijijini niliwahi kusikia kuwa serikali hairogeki nikakubaliana nao, lakini jinsi hali ilivyo hapa tz naanza kuamini kuwa kuna watu wameiloga serikali hadi haielewi majukumu yake kwa raia, kwa sababu mfano rahisi niliwahi...
kwa jinsi wananchi walivyo kosa imani na hii serikali ya JK nahisi watanzania watakuwa na furaha na amani ya kweli iwapo tu wataambiwa serikari imejiuzuru licha haipo
Kama bunge litashindwa kufikia maamuzi sahihi kwa hawa mafisadi lazima wananchi tuwaadhibu kama wahujumu uchumi, haiwezekani wabunge wanatumia hela nyingi za wapigakura halafu ukweli unapatikana watu hao hao wanawatetea wezi, hii nchi imeimekosa nini kwa Mungu hadi viongozi tunaowategemea...
ila issue inakuja tangu chinese walipoanza kutuletea hdd mbovu ambazo wanakupa warranty siku 21, chochote ufanyacho hakisaidii mkuu ila mada nzuri inaeleweka na nimekuelewa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.