hellow jaman, naomben msaada wenu ni njia gan au ni utaratibu upi wanaoutumia nacte kufanya udaili wa wanaafunzi kwa mwaka wa masomo 2018/2019,kwa ngazi ya cheti na diploma??
Na pia lini mwisho wa maombi hayoo??
[emoji95][emoji95]KILIO CHETU[emoji95][emoji95]
*Ujumbe huu uufikie umma.*
Mnamo tar 19/02/2016 Serikali kupitia Tume ya vyuo vikuu (TCU) ili vifungia vyuo vikuu vishiriki vya Mt Joseph tawi la Songea na Arusha wanafunzi hao walihamishiwa katika vyuo vikuu tofauti ikiwemo Chuo kikuu cha...
Kuna clinic moja nilishawah kusikia inaitwa Herbal Clinic inatibu magonjwa sugu ikiwemo na fangasi.
Kama kuna mtu anajua ilipo hapa Dodoma anisaidie ili nikatibiwe, hata mwenye namba zao za simu aniPM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.