Acheni kudanganyana, Okwi si mchezaji wa Sports Club Villa; Okwi bado ni mchezaji halali wa Etoile du Sahel!
Labda kama mnapenda kufurahishana kishabiki!
Nahisi 5-0 zitarudi kipindi hiki cha Berko na Mapunda. Simba watasingizia kuwa hawa makipa ni Yanga damu, kwa kuanzia tunawashona 4-0 kwenye mechi ya 'Nani Mtani Jembe'.
Ndoto za mchana!
Kwanini Kili Water isikae na wateja wake na kuondoa tofauti zilizopo? Majadiliano yataleta suluhu na itakuwa ni faida kwa
maendeleo ya Rombo na taifa kwa ujumla.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.