Hapo ndipo huwa sikubaliani napo. Tena hapo ndio huwa sipapendi, huwa napinga!
Ni umbumbumbu kumshauri mtoto/kijana kwenda kusoma ili aajiriwe. Tanzania tunahitaji Wajasiriamali. Tunahitaji watu wenye nia na uwezo wa kujiajiri, sio watu wa kukimbilia kuajiriwa. Hivyo Kijana anatakiwa ashauriwe...
Rest in Peace, Bob. You'd have been 70 today! Nearly 34 years on, the World is still enjoying your hits of protest, social justice, fighting the power and, of course, love:
1. "Simmer Down," 1962
2. "Concrete Jungle," 1973 (qoute .... "No chains around my feet/But I'm not free/I know I am...
Sio suala la Kuwait "careless", Mkuu Mzungu! Unafahamu ni karaha kiasi gani na rushwa kiasi gani inayodaiwa kwa Mwenye Bima hadi alipwe fidia hapa Tanzania? Unafahamu inagharimu kiasi gani kufuatia fidia hadi ilipwe? Ni Shirika gani la Bima Mashambani kama sio wote wamerundikana kwenye Mijini...
Wazungu wanamsemo: "When the going gets tough, the tough gets going"!
Mwanamuziki maarufu wa Marekani alicheza Sinema
inayoitwa "Get Rich or Die Trying"!
Kama mafanikio yangekuwa yanakuja kirahisi bila changamoto, nyingine zikiwa nzito za kukatisha tamaa, hakyanani nisingekuwa naposti...
Asante kwa "News Alert!". Umaskini wa Tanzania unachangiwa na mambo likiwemo hili la Mtanzania kutafuta Kalenda za Nchi 10 na kuhesabu idadi ya Sikukuu badala ya kufanya Kazi yenye Tija kwa Taifa! Halafu tangu lini Afrika Kusini, Botswana, Zimbabwe, Msumbiji, Swaziland zikawa Nchi za Maziwa...
Mwanangu yuko Darasa la Tano. Saa ya Mkononi ni sehemu ya mavazi yake. Sio kwa ajili ya maandalizi ya Mitihani ya Kidato cha Nne kama ambavyo Mwanao anashurutishwa avae, bali ni kumjengea Mtoto hurka ya "Time Management" tangu akiwa mtoto, jambo ambalo kwa Watanzania ni "Janga la Taifa"! Suala...
Mkuu, huna haja ya kuhangaika. Ufugaji wa Nguruwe ni moja ya Miradi iliyokwisha dadavuliwa kwa kina na Wataalamu na wasio Wataalamu hapa hapa jamvini siku za nyuma. Wewe tafuta Uzi wa Ufugaji wa Nguruwe na utapata nondo za uhakika, ushuhuda wa waliofanya wakanufaika na hata maoni ya wanafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.