Leo kutokana na hizi mvua pamoja na kuwahisha pesa kwenye akaunti nikaona nihamishe Tsh 80,000 kutoka Tigopesa kwenda akaunti yangu ya benki, Equity Bank. Mweeeeeee...! Nakuta ada ni Tsh 5,000 kwa hako ka muamala.
Hivi mbona ni kama hatuko serious na mapinduzi ya kiteknolojia? Moja kati ya...
Chochote unachokitaka kwenye hii dunia unaweza kukipata kutoka kwa watu. Kiwe kikubwa, kiwe kidogo; iwe watu wengi, au watu wachache. Cha muhimu ni kujenga mazingira yatakayofanya wakupe “wewe” na/au waendelee kukupa tena na tena.
Kwa miaka yote niliyofanya kazi katika taasisi kubwa za serikali...
Yaani huu msemo unanipa ukakasi kichizi yani! Leo Simba Anacheza ndo maana yake uko period??? Eti unableed. Really? Kisa damu nyekundu?
Aaahhh tuachane na huu msemo bhana
Tumboni kwetu kuna kemikali kali ambayo ina uwezo wa kuunguza ngozi, msumali, sakafu, karatasi na kadhalika kama ambavyo unaona mtu akiwa amemwagiwa maji ya betri (Asidi ya salfyuriki). Kemikali hii ni asidi, na hujulikana kama asidi ya haidrokloriki (Kwa kiingereza huitwa Hydrochloric Acid)...
Nimechoka. Yaani nasema nimechoka. Unless otherwise wapitie upya makato yao na kuweka gharama zenye mashiko, vinginevyo nitasafiri hata umbali mrefu kwenda kuweka pesa kwa wakala wa benki au benki kwenyewe.
Kuhamisha pesa Tsh 120,000/= kutoka Tigopesa kwenda benki wanakata Tsh 3,600/=? Na VAT...
Kibongobongo apple moja sasa linasimamia Tsh 800-1,000! Yakilala au kubondeka utayapata kwa Tsh 600-700; na ukienda yale maeneo ya maisha mazuri (Mbagala, Buguruni, Tandale, Gongo la mboto, Bunju nk) huko hadi apple la Tsh 500 utapata. Achjlia mbali yale ma apple ya kutoka Tanga wanayouza kwa...
Kwanza kabisa nianze kwa kupongeza mfumo wa maisha na utaratibu wa wenzetu hususan watu wa Ulaya, Marekani, China na India kuweza kuanzisha, kusimamia na kuendeleza biashara za ndani na nje ya nchi zao na kuweza kumiliki biashara popote duniani. Mfumo wao na mazingira yao husaidia sana kuchochea...
No way. Yaani no way kabisa! Ukiachilia mbali aliyegundua sindano za kunenepesha kuku na ng’ombe pamoja na wale wa GMO waliotuletea nyanya zenye uzito wa robo kilo na ukubwa kama chungwa sisi wanaume tunalia na aliyegundua make up na booster.
Wanaume tunaibiwa, wanaume tunadanganywa mchana...
Nawasalimu wakuu wote wa JF!
Binafsi najua kwamba kusaidiana na kupozana ni kitu cha msingi, hususan kunapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Kwa upande wa watu hawa imekuwa mazoea na inanipa mashaka kidogo maana muda mwingine hufanya kama ni haki yao kupewa hela na kutamani unapokuwa unatoka...
MKUTANO WA AFYA YA JAMII KUHUSU MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NA VIPODOZI
(AFYA, DAWA, UZURI, UREMBO NA VIPODOZI)
AGENDA
MAMBO YA MSINGI ILI KUWA NA AFYA NJEMA
KUWA NA UZURI NA UREMBO UNAOTAKA BILA KUDHURU MWILI
MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NA VIPODOZI
VIPODOZI VISIVYO SALAMA NA...
Kwema wakuu? Naona tatizo la ajira na mitaji bado linayakabili maisha ya watu wengi sana; hususan "wasomi".
Sasa mimi nina msaada mmoja tu - USHAURI. Ukikusaidia wasaidie na wenzako.
UKISHINDWA KUANZISHA BIASHARA YAKO BASI SAIDIA BIASHARA NA MAISHA YA MWENZAKO. NAYE ATAKUSAIDIA CHOCHOTE...
TATIZO LA MAGONJWA SUGU NA JINSI YA KUZUIA USUGU
IMEANDIKWA NA:
S&E HEALTH SOLUTIONS
WATAALAM NA WASHAURI WA AFYA, UREMBO NA VIPODOZI
UTANGULIZI
Umewahi kusikia kuhusu Malaria sugu? Maambukizi katika nia ya mkojo (U.T.I.) sugu? Homa ya matumbo...
S&E HEALTH SOLUTIONS ni project inayojishughulisha na utoaji wa elimu na ushauri wa Afya, Urembo Na Vipodozi kwa jamii zote za Tanzania .
Kwa sasa inahitaji wasichana watatu (3) kwa ajili ya kusaidia kusambaza matangazo, kuelimisha jamii, kuendesha shughuli za mradi na kufikia wateja wengi...
S&E HEALTH SOLUTIONS ni wataalam na washauri wa Afya, Urembo Na Vipodozi.
Tunasaidia watu kuwa na afya njema na kuondokana na matatizo yote ya Afya , Uzuri, Urembo Na Vipodozi.
Magonjwa l Matatizo ya ngozi l Harufu mbaya l Chunusi l Makunyanzi l Michirizi l Mba l Ngozi kavu l Mafuta mengi...
VIPODOZI VISIVYO SALAMA NA MADHARA YAKE
SEMINA HII IMEANDALIWA NA KULETWA KWAKO NA:
S&E HEALTH SOLUTIONS; WATAALAM NA WASHAURI WA AFYA, UREMBO NA VIPODOZI
ILALA BUNGONI, DAR ES SALAAM
0659 528 724 , 0784 082 847
SEHEMU YA KWANZA
1.0 UTANGULIZI
Vipodozi visivyo salama ni vipodozi ambavyo...
Habari zenu rafiki zangu wa Jf! Naomba mkae mkao wa kula kwa ajili ya somo muhimu sana juu ya vipodozi visivyo salama. Somo hili ni la bure na litatolewa online kupitia JamiiForums, Facebook (Ukurasa wa S&E HEALTH SOLUTIONS) na whatsapp kupitia namba 0659528724, group litakuwa VIPODOZI VISIVYO...
TATIZO LA NGOZI KAVU
Somo hili limeletwa kwako na:
S&E BEAUTY SOLUTIONS
WATAALAM NA WASHAURI WA AFYA, NGOZI NA VIPODOZI
0 659 528 724 , 0 784 082 847
Facebook : S&E BEAUTY SOLUTIONS
Ngozi ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu. Inafanya kazi mbalimbali kama vile kuulinda mwili...
TATIZO LA MAFUTA MENGI USONI
Habari rafiki! Karibu leo tuzungumzie tatizo la mafuta mengi usoni.
Mafuta ni moja kati ya vitu muhimu sana katika ngozi zetu. Na chini ya ngozi zetu (ndani ya mwili) kuna mafuta mengi yamehifadhiwa na pia kuna seli ambazo kazi yake kubwa ni kutoa haya mafuta. Mafuta...
Pata ushauri, elimu na huduma za uzuri, urembo na vipodozi ili uweze kukidhi mahitaji yako yoyote na kuondoa matatizo yote yanayokabili muonekano na harufu ya mwili na ngozi yako na uwe unavyotaka.
Tunahudumia mtu yeyote, mahali popote Tanzania.
#Chunusi, Mba, Mvi, Makunyanzi, Michirizi, Madoa...
Usipate shida tena pale unapohitaji kuondoa tatizo lolote linalokwaza muonekano au uzuri wako, pata ushauri na bidhaa bora, salama na zenye ufanisi mkubwa kutoka kwa wataalam wa vipodozi na afya yako.
Wasiliana na wataalam wa urembo na vipodozi, pata ushauri na matokeo unayoyataka
S&E BEAUTY...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.