Mimi binafsi naamini suala la mirathi kila mmoja ana maamuzi ya nani ampe nini. Kwa hiyo hakuna sheria iliyo iliyombana au itakayombana mtu kumuandikia mtu au kikundi fulani urithi.
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Ona! Wale wale wa kusifia mtu badala ya kuangalia kilichokuwa mezani! Mbona hausifii uwanja wa ndege wa chato? Huyo ndo haukuwepo kwenye mpango kazi wa taifa! Fly over ilikuwepo siku nyingi
Katika televisheni yenye kuboa ni yenu! Mnakumbusha TV za kichina enzi za Mao the tung!. Mnasifia tu hamuoneshi changamoto nyingine za upande wa pili. Mfano Hivi hiyo TBC ni ya chama tawala?. Je mkionesha Sera za vyama vingine mtaugua? Acheni ushamba wa karne ya 47! Hata Nyerere alipinga wazo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.