Hayo mabomu sijui atajipiga mwenyewe manake hamna mtu yoyote anayeshughulika nae. Watu wako busy na mengine anatafuta attention ya kupewa msaada wa chakula.
Ni kweli offside lakini kama mshika kibendera na VAR wote walikaa kimya ulitaka refa afanyaje wakati position yake uwanjani haikumuezesha kuona kama ni offside?
Huo ndio mizengwe haikosi tuangalie mbele.
1. Ndio ilikuwa offside lakini hakuna jinsi kama waamuzi wa VAR hawakumwambia refa aende kutizama.
2. Push ilikuwa ndogo sana jamaa ali dive kumdanganya refa.
3. Sikuiona hio lakini kumbuka refa hawezi kwenda kuangalia VAR mpaka wale waamuzi wasaidizi wa VAR wakiona maamuzi ya refa yana...
Nilikuwa na maanisha ulinzi anao wa kuwasikiliza wanachosema bila kuogopa kupigwa kibao.
Manake sijaelewa kwanini kapitishwa mlango wa nyuma wakati angevuka tu barabara pale na kuingia ukumbini huku jamaa wanapiga kelele zao.
Naona wanalalamika wamekataliwa kuingia ndani na ma Tshirt yao. Na wao kukaa kote Marekani hawajui jinsi ma-heckler wanaingiaje ukumbini kufikisha ujumbe wao?
Wengine wangeingia ndani. Wange vaa mavazi ya heshima kuandamana sio lazima uonekane mchafu mchafu ndio ujumbe ufike. Wengi wanafikiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.